kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Hakuna kitu lakini Bado tunampenda mama yetu Samia 2030Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Mwenye sms ya salary aweke hapa
[/QUOT
Wanavunja watu moyo wa kujituma kazini, ujinga sana kucheza afya ya mtanganyika
Kwanza kabisa kuwa na adabu mimi siyo rika lako jiheshimu sana. Hayo matusi wape wazaz wako waliokufundisha matusi. Km huwezi kuchangia hoja bila matusi acha.Kama siyo mjinga unapotosha kwa makusudi! Mfano wewe umeajiriwa January mwaka huu unataka upate increment sawa na aliyeajiriwa July mwaka jana? Be sensible guy!
Bora umemwambia. Huyo Izia Maji Hana adabu. Anatukana watu hovyo wakati kichwani anaonekana ni empty.Unaandika upumbavu basi unajiona uwadanganya wajinga wenzio
Mmechelewesha OPRAS...hawakosi majibu hao Ndugu zenu!!!Kama nyongeza hakuna ...hata ongezeko la mwaka (annual increment )hamna??
Sii kweli
Acha propaganda zako kutetea hii serikali. Kwani hizi annual increment ndio zinaanza leo? Wameshindwa kutimiza ahadi acheni kututea ujinga.Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Wewe siyo watu bali chizi mtu!Bora umemwambia. Huyo Izia Maji Hana adabu. Anatukana watu hovyo wakati kichwani anaonekana ni empty.
Mjinga wewe usiyejua regulations!Acha propaganda zako kutetea hii serikali. Kwani hizi annual increment ndio zinaanza leo? Wameshindwa kutimiza ahadi acheni kututea ujinga.
Nimekuonya kistaarabu na usidhani unanizidi maarifa.Wewe siyo watu bali chizi mtu!
Kawaonye wadogo zako kwanza! Kashtaki kwa babu yako labda anaweza kuwa na uhalali wa kunishauri!Nimekuonya kistaarabu na usidhani unanizidi maarifa.
Na aliyeajiriwa between January mpaka June kwa miaka ya nyuma let's say 2020?Unafahamu maana ya annual increment? Kwa kiswahili ni nyongeza ya mwaka ya ajira yako na siyo nyongeza ya mwaka wa serikali! Hivyo kwa mfano kama uliajiriwa January mwaka huu bado hujatimiza mwaka na hustahili. Wanaostahili nyongeza ni wale walioajiriwa July mwaka jana. Kwa sababu hiyo ndiyo kilichotokea kuwa si wote wamepata increment mwezi huu!
Huyo ana haki ya kupata increment kulingana na cycle yake ya ajira.Na aliyeajiriwa between January mpaka June kwa miaka ya nyuma let's say 2020?
Acha uwongo wewee. Watu tumelipwa hizo enzi za mkapa na kikwete, kila Julai mzigo unapanda hata kwa afu tatu. Unatuudhi kwa kweliAnnual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Kwa ufafanuzi wako huu, utakuwa unazitafuta laana za wavuja jasho.Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Ni suala la kanuni na siyo mimi!Kwa ufafanuzi wako huu, utakuwa unazitafuta laana za wavuja jasho.
Hii serikali haina hela ,ya kufanya hivyo kwa haina haina option ya mapato zaidi ya tozoAnnual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Acha uhuni wa kujiweka msemaji wa serikali huku ukijua kuwa unapotosha kabisa,kwanza hujui hata mikataba tunayosaini watumishi inasema vipi,hivi Kwanini serikali inakuwa na wateteaji wajinga kama wewe!?annual increment kwa mkataba wangu huwa ni mwezi wa saba bila kujari uriajiliwa mwezi wa pili au wa tatu.Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Usijifanye punguani kwani hujui mwezi wa tano ulikuwa mwaka wa fedha uliopita na annual increment zimeanza mwaka huu wa fedha!Acha uhuni wa kujiweka msemaji wa serikali huku ukijua kuwa unapotosha kabisa,kwanza hujui hata mikataba tunayosaini watumishi inasema vipi,hivi Kwanini serikali inakuwa na wateteaji wajinga kama wewe!?annual increment kwa mkataba wangu huwa ni mwezi wa saba bila kujari uriajiliwa mwezi wa pili au wa tatu.
OK tufanye nimeuelewa huo ujinganunaoutetea,mimi nimeajiliwa mwezi wa tano, hivyo mwezi wa tano sikuwa na annual increment wala mwezi huu,lakini mkata wangu unasema annual increment ni mwezi wa saba wa kila mwaka.
Acha kutetea upuuzi,kiufupi hakuna mtumishi aliyepata nyongeza iwe aliajiriwa mwezinwa tano aunwa saba