Nimepata shule mpya hapa. Ila watumishi wana hasira duhUnafahamu maana ya annual increment? Kwa kiswahili ni nyongeza ya mwaka ya ajira yako na siyo nyongeza ya mwaka wa serikali! Hivyo kwa mfano kama uliajiriwa January mwaka huu bado hujatimiza mwaka na hustahili. Wanaostahili nyongeza ni wale walioajiriwa July mwaka jana. Kwa sababu hiyo ndiyo kilichotokea kuwa si wote wamepata increment mwezi huu!
Kwahyo baadhi ya watu wamepata annual increment syo, basi vizuri sana. Serikali ishukuriweAnnual increment haitolewi kama salary increase ambayo hutolewa kwa watumishi wote bali hutolewa kulingana na tarehe ya kuajiriwa kwa watumishi wapya na tarehe ya promotion ya mwisho kwa watumishi ambao tayari walikuwa wamepanda vyeo.
Unafahamu maana ya annual increment? Kwa kiswahili ni nyongeza ya mwaka ya ajira yako na siyo nyongeza ya mwaka wa serikali! Hivyo kwa mfano kama uliajiriwa January mwaka huu bado hujatimiza mwaka na hustahili. Wanaostahili nyongeza ni wale walioajiriwa July mwaka jana. Kwa sababu hiyo ndiyo kilichotokea kuwa si wote wamepata increment mwezi huu!
Liongo hiliAnnual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Samiah amekuongeza sh ngapiJiwe alikuwa mvunjifu wa sheria na taratibu; ndo maana hata mishahara aligoma kuongeza kwa miaka 6 bila kujali sheria, Jiwe alikuwa mdudu wa HOVYO!
Hili kama jehuUsijifanye punguani kwani hujui mwezi wa tano ulikuwa mwaka wa fedha uliopita na annual increment zimeanza mwaka huu wa fedha!
Hakuna ujingaa kama huuuu... Yani serikali ikae ianze kupitia mafile kuwa imemuajiri mtu mwezi gani ili imuongezee mshahara??? Huo utahiraa haupooo bwana mdogooo kawadanganyee wenzio wa vijiweni huko.. Mwezi July unapoanza mwaka mpya wa fedha ndo pesa inapandaa chap the rest sahau.Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Uongo huo.... Akisema nyongeza ni kimya kimya, mambo moto ni fire.... Kazi ya moto huijui ? Nikujulishe kazi ya moto ni Kuunguza...! Alichosema atawaunguza kimya kimya.Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Kibajaji au ??Mjinga wewe! Jiwe alipunguza pay as you earn (PAYE) ikawa single digit ndiyo sababu ikatokea kwa watumishi wote kwa wakati mmoja.
Umeandika upupu Bibi lenu linawatesa watu nyie wahuni na udini wenu mnashabikia upumbavuAnnual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Anawatesa kivipi?Umeandika upupu Bibi lenu linawatesa watu nyie wahuni na udini wenu mnashabikia upumbavu
Rais Bora wa matope ya bandari kama chekechea bure kabisaAnawatesa kivipi?
Mbona aloweka nyongeza ambayo haikuwepo kwa miaka 6.
Huyu ndio Raisi bora
RubbishJiwe wala hakuwa wa hovyo...tatizo ni wewe mwenyewe una akili na mindset ya kimalaya malaya umezoea kudanganywa danganywa na kulaghaiwa.
Jiwe was straight and mkweli.
Basic kutoka 2.7mil. hadi 4.1m....haya kajinyonge sasa pumbavuSamiah amekuongeza sh ngapi
Mkweli kwenye haki za watuAngalua jiwei alikuwa straight na mkweli, u know what to expect
Matope na pumbaMwaka wa fedha huanza July kwa nchi nzima siyo kweli kuwa kila mtumishi ana mwaka wake wa fedha.
Mkweli kwenye haki za watu
Wewe utakuwa umepanda daraja la mshahara.Basic kutoka 2.7mil. hadi 4.1m....haya kajinyonge sasa pumbavu
Wewe nyau mbwa hujielewi.
Paye alipunguza July ila increment ilifanyika November