Nichague ipi Kati ya nyumba iliyoko Mbezi Maramba mawili na iliyoko Kijichi Mgeni Nani

Naomba sababu kiongozi
Mbezi ni Main Raod kutoka na kuingia Dar. Pia ni karibu na kituo cha kuingia na kutoka Dar Magufuli stand.

Mbezi wamekaa watu waliostarabika zaidi wa mikoa ya Kaskazini na Kusini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…