Nichague yupi kati ya hawa mabinti?

Nichague yupi kati ya hawa mabinti?

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe
Dogo,
Wewe unasumbuliwa na nyeg.€ tuu.
Mtoto wa miaka 23 uoe, are you serious?!!!

Achana na mawazo ya kuoa. Endelea kuchakata wote hao kabla mabaharia hawajakunyang'anya
 
23 unataka pisi ina 22 una wazimu, umri wako huo ndo wa kula toto mbichi.
Hao mademu wote dada zako, watakusumbua na jinsi usivyo na maamuzi sahihi hata kwa hili dogo, makubwa ya ndoani hutayamudu.
Kua kwanza, kwa sasa chapa mbususu kwa tahadhari kupata uzoefu.
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Dogo utafika 40 ukiwa umechoka sana.

Tafuta maisha dogo baadae usije kuilalamikia Ccm kwamba inasababisha maisha mgumu
 
23 unataka pisi ina 22 una wazimu, umri wako huo ndo wa kula toto mbichi.
Hao mademu wote dada zako, watakusumbua na jinsi usivyo na maamuzi sahihi hata kwa hili dogo, makubwa ya ndoani hutayamudu.
Kua kwanza, kwa sasa chapa mbususu kwa tahadhari kupata uzoefu.
Nilijua JF ndio napata mawazo chanya kumbe Mhenga niko na jadiliana na vitoto wvya Elfu 2
 
Back
Top Bottom