Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Umetukandia sanaKwa nini mkuu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetukandia sanaKwa nini mkuu ?
Hapana bhana mimi huwa sikandiii mtu napiga stories tu madam wanguUmetukandia sana
Kwa hiyo mnataka kuendeleza kilimoni familia ya kikumima na kifugaji.
ahsante kwa swali zuri! Ni stori ya kuvutia sana. Kwanza mtaani kwetu kuna rastaman ni rafiki yangu mno! Nilikuwa na laptop nikampa akawa anaitumia,sasa kila nikienda kwake nakuta anaperuzi faili linaloitwa jf na akawa anacheka akiona baadh ya replys za watu,nikavutiwa,nikaldownload fail hlo la jf. Skujiunga,nikawa nasoma tu mada na replays za member wa humu jf hali iliyonifanya nivutiwe kujiunga nayo. Ktk kuandika jina nlitambua kuwa watu wote humu wanatumia fake id hivyo jina holoholo likanijia nami bila hiana nikaandika hvyo. So holoholo haina mana yeyote kwangu. Ktk kuchagua avator photos ilikuwa nikiweka naambiwa picha ina kb nyng kuliko hnavyotakiwa hapa jf, so nikawa natest kila picha,so zlizokubali ndo hzo unazoziona sasa. Ahsante. Vipi wewe niambie why "mshamba hachekwi"? Na kwa nn umeweka picha hyo ktk avator yako?bro nini maana ya holoholo na hiyo avatar namna gani?
'mshamba hachekwi' ni falsafa ninayotembea nayo sana kwenye maisha yanguahsante kwa swali zuri! Ni stori ya kuvutia sana. Kwanza mtaani kwetu kuna rastaman ni rafiki yangu mno! Nilikuwa na laptop nikampa akawa anaitumia,sasa kila nikienda kwake nakuta anaperuzi faili linaloitwa jf na akawa anacheka akiona baadh ya replys za watu,nikavutiwa,nikaldownload fail hlo la jf. Skujiunga,nikawa nasoma tu mada na replays za member wa humu jf hali iliyonifanya nivutiwe kujiunga nayo. Ktk kuandika jina nlitambua kuwa watu wote humu wanatumia fake id hivyo jina holoholo likanijia nami bila hiana nikaandika hvyo. So holoholo haina mana yeyote kwangu. Ktk kuchagua avator photos ilikuwa nikiweka naambiwa picha ina kb nyng kuliko hnavyotakiwa hapa jf, so nikawa natest kila picha,so zlizokubali ndo hzo unazoziona sasa. Ahsante. Vipi wewe niambie why "mshamba hachekwi"? Na kwa nn umeweka picha hyo ktk avator yako?
Hili nalo nenoWewe huogopi?
Miaka 23 uwe na mke unazani mtazeeshana!
Umri sahihi wa kuoa ni angalau miaka 50 hivi ili uishi na mtoto wa watu ata miaka 10 hivi then ufe.
Mh sema ukweli umewatoa bikra au walishapitiwa tayarikwa sasa wote sio mabikra kwa vile huo ubikra niliutoa mimi.