Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole ya nini mkuu Half american?Pole sana
Ya hayo mahusiano yakopole ya nini mkuu #half american?#
bado una fikra za kizamani kwamba mkubwa ndiye mwenye hekima na maarifa,wakati alisahau kuwa kuna makubwa jinga kama wewe.Mtt mdg sana,unatuletea vijistori vya abunuwasi, Jamiiforums imeanza kuporomoka kimaudhui kutokana na vamizi hili la vitoto vya elfu mbili, nafikiri moderators muwe mnawapiga ban watu kama hawa coz tunakoelekea jamiiforums itakuwa ni Facebok iliyo changamka, mkuu unataka maudhui yapi uyaone ktk jukwaa la jamii mapenzi?
Oa wote afu shetani akuonyeshe type zako😂👍SasaMimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
nyege zipi mkuu,mana kama nyege nazitoa ka win,emmy,sandra,yasinta lakn why nipick wawili na kuwaleta kwenu? Kasababu nawapenda na naitaji mmoja wapo awe wng wa maisha. Unanishauri vpi mkuu?Dogo,
Wewe unasumbuliwa na nyeg.€ tuu.
Mtoto wa miaka 23 uoe, are you serious?!!!
Achana na mawazo ya kuoa. Endelea kuchakata wote hao kabla mabaharia hawajakunyang'anya
Unaonaje tukaingia makubaliano ya hiyari? Yaani wewe ubaki na Winnie, halafu mimi unaniachia Emmy!! Ukiingia kwenye haya makubaliano, na uzi nao utafutwa kwa msaada wa Mods.Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.