Nichague yupi kati ya hawa mabinti?

Nichague yupi kati ya hawa mabinti?

Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Umri wako huu ni wa kuteta na wazee Kijijini kuhusu kuoa. Hapa JF Kuna midude ina miaka 40 na Haina mpango wa kuoa, hautapata mshauri mzuri.

Chukua huyo mnyamwezi songa mbele maisha hayasubiri umri.
 
Mada iliharibika pale ulipotaja "muha"...
Ubishi wa muha mtawezana?, kama na ww ni muha oaneni...
 
Muha anaweza kubishana hadi akashinda- nyeusi kuwa nyeupe.

Mnyamwezi kwenda kutoumbwer nje ya ndoa yake ni jambo la kawaida sana kwake haoni hatari
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Wapange wote tu
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Na ww unatokea familia gani ya wakulima,wafugaji au
 
Wewe huogopi?
Miaka 23 uwe na mke unazani mtazeeshana!

Umri sahihi wa kuoa ni angalau miaka 50 hivi ili uishi na mtoto wa watu ata miaka 10 hivi then ufe.
Wait miaka??? [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Afadhali WIN ila hata hivyo sikushauri kwa umri, labda na wewe uwe Muha

Huyo namba Moja achana nae ni uchuro
 
Umri wako huu ni wa kuteta na wazee Kijijini kuhusu kuoa. Hapa JF Kuna modude ina miaka 40 na Haina mpango wa kuoa, hautapata mshauri mzuri.

Chukua huyo mnyamwezi songa mbele maisha hayasubiri umri.
katika komenti nzuri na bora ni yako. Ahsante bro.
 
Back
Top Bottom