mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Childish Gambinohuyo msanii anaitwa nani nione kazi zake bro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Childish Gambinohuyo msanii anaitwa nani nione kazi zake bro?
Nakaziaweka picha zao kwanza ili balozi muandamizi nikushauri
amini nakuambia wazazi wangu wote hawakusoma lakini mimi niko chuo mwaka wa tatu! Je hili jambo unalizungumzia vipi?Sikushauri uoe mtu aliyechoka kwenda shulelni,nilichojifunza kwenye haya maisha ukiwa mtu wa kukataa shule ,basi hata watoto wako watakuwa hivyo hivyo,ukiwa ulikuwa unapenda kwenda shule na watoto the same.
Ndio walioteka soko la mitandao mkuuNilijua JF ndio napata mawazo chanya kumbe Mhenga niko na jadiliana na vitoto wvya Elfu 2
Kuna kanuni Moja inasema Tabia au sifa za mtu hupimi kwa kuangalia TU badala yake unapima kwa kuwa ukaribu na muhusika....Sifa ulizoweka hapo ni za kuongeleka tu kuna maswala ya dini n.k afu hatukuelewi na ww unaoa au unampango ganiiMimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
MUha mrefu mweupe wa wapi huyo??😂Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Achana na hayo mawazo, watie tie kwanza hadi wapate mtu wa kuwaoa. Hapo wewe unajidanganya hakuna utakayemuoaMimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
rudia kusoma utanielewaKuna kanuni Moja inasema Tabia au sifa za mtu hupimi kwa kuangalia TU badala yake unapima kwa kuwa ukaribu na muhusika....Sifa ulizoweka hapo ni za kuongeleka tu kuna maswala ya dini n.k afu hatukuelewi na ww unaoa au unampango ganii
Miaka 23 huna uwezo wa kuamua na kuchagua? Sisi tukikushauri tutakudanganya kwa vile unachoeleza ni makandokando tu. Nashauri uwaulize wazazi wako. Pia, ujiulize. Kama nao wana wawili wawilil kama wewe itakuwaje mwanangu?Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
umesema kweli baba ila usitilie manani sana kila mada humu, mana kuna wengne wanaleta topic kuchangamsha jukwaa tu!Miaka 23 huna uwezo wa kuamua na kuchagua? Sisi tukikushauri tutakudanganya kwa vile unachoeleza ni makandokando tu. Nashauri uwaulize wazazi wako. Pia, ujiulize. Kama nao wana wawili wawilil kama wewe itakuwaje mwanangu?
Hawachangamshi chochote bali kuonyesha ujuha na kupoteza muda wao mwanangu.umesema kweli baba ila usitilie manani sana kila mada humu, mana kuna wengne wanaleta topic kuchangamsha jukwaa tu!
Oa alie bikra kwakua asie bikra ni mke wa mtuMimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Miaka 23? Huyu mtoto wa 1999 dogo tafuta hela, jipange vizuri kimaisha, achana na mapenzi.Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...
Sifa za kila binti ni hizi hapa
Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.
binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22
Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.