Nichague yupi kati ya hawa mabinti?

Nichague yupi kati ya hawa mabinti?

Sisi tuna miaka 30+ na tunazagamua watoto wa umri wako na hawachomoki halafu wewe23 uoe 22.
Tuliza nyenge hizo dogo watoto wa2000 mkubali mkatae Arv,majira mafuta ya kondomu na sindano za uzazi wa mpango zimewaathiri sana. Na ukweli siku zote huwa haupingwi ukipinga wee ni lofa tu.
 
Wewe na hao mabinti wote mko sawa kiumri na kiakili, subiri ukue
 
Sikushauri uoe mtu aliyechoka kwenda shulelni,nilichojifunza kwenye haya maisha ukiwa mtu wa kukataa shule ,basi hata watoto wako watakuwa hivyo hivyo,ukiwa ulikuwa unapenda kwenda shule na watoto the same.
 
Sikushauri uoe mtu aliyechoka kwenda shulelni,nilichojifunza kwenye haya maisha ukiwa mtu wa kukataa shule ,basi hata watoto wako watakuwa hivyo hivyo,ukiwa ulikuwa unapenda kwenda shule na watoto the same.
amini nakuambia wazazi wangu wote hawakusoma lakini mimi niko chuo mwaka wa tatu! Je hili jambo unalizungumzia vipi?
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Kuna kanuni Moja inasema Tabia au sifa za mtu hupimi kwa kuangalia TU badala yake unapima kwa kuwa ukaribu na muhusika....Sifa ulizoweka hapo ni za kuongeleka tu kuna maswala ya dini n.k afu hatukuelewi na ww unaoa au unampango ganii
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
MUha mrefu mweupe wa wapi huyo??😂
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Achana na hayo mawazo, watie tie kwanza hadi wapate mtu wa kuwaoa. Hapo wewe unajidanganya hakuna utakayemuoa
 
Kuna kanuni Moja inasema Tabia au sifa za mtu hupimi kwa kuangalia TU badala yake unapima kwa kuwa ukaribu na muhusika....Sifa ulizoweka hapo ni za kuongeleka tu kuna maswala ya dini n.k afu hatukuelewi na ww unaoa au unampango ganii
rudia kusoma utanielewa
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Miaka 23 huna uwezo wa kuamua na kuchagua? Sisi tukikushauri tutakudanganya kwa vile unachoeleza ni makandokando tu. Nashauri uwaulize wazazi wako. Pia, ujiulize. Kama nao wana wawili wawilil kama wewe itakuwaje mwanangu?
 
Miaka 23 huna uwezo wa kuamua na kuchagua? Sisi tukikushauri tutakudanganya kwa vile unachoeleza ni makandokando tu. Nashauri uwaulize wazazi wako. Pia, ujiulize. Kama nao wana wawili wawilil kama wewe itakuwaje mwanangu?
umesema kweli baba ila usitilie manani sana kila mada humu, mana kuna wengne wanaleta topic kuchangamsha jukwaa tu!
 
umesema kweli baba ila usitilie manani sana kila mada humu, mana kuna wengne wanaleta topic kuchangamsha jukwaa tu!
Hawachangamshi chochote bali kuonyesha ujuha na kupoteza muda wao mwanangu.
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Oa alie bikra kwakua asie bikra ni mke wa mtu
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, nipo ktk dilema nime fall in love kwa mabinti wawili,na wote wananipenda sana ila kila mmoja anajua yupo peke yake...

Sifa za kila binti ni hizi hapa

Binti wa kwanza anaitwa Emmy
1.Ni binti mrefu, mnene kiasi, maji ya kunde 2.Ni mnyamwezi
3.Anatokea family ya kifugaji na wakulima wazuri na kiangazi analima bustani
4.Ameishia form two 2021 kutokana na kuchoka kwenda shule 5. Umri miaka 19.

binti wa pili anaitwa WINI
1.Ni binti mrefu mwembamba kiasi na ni mweupe.
2.Ni muha
3.Anatoka family ya wakulima wa kilimo cha kujikimu.
4.Amemaliza form four 2023 na hakufanikiwa kuchagulia kuendelea na masomo ya elimu ya juu.
5.Umri miaka 22

Nishaurini ndugu zangu nipo ktk mawazo mazito yupi nimuoe mana imefkia wakati nimechanganyikiwa.
Miaka 23? Huyu mtoto wa 1999 dogo tafuta hela, jipange vizuri kimaisha, achana na mapenzi.
 
Back
Top Bottom