Nichukue kozi gani kati ya hizi kwa level ya Masters?

Nichukue kozi gani kati ya hizi kwa level ya Masters?

Mimi ni kijana ninaetarajia kumaliza chuo mwezi wa 7 ( ualimu digrii)

Nataka kuendelea na masters baada kumaliza, na KOZI nazopendelea kuzisoma masters ni hizi zifuatazo;
1. Parasitology and Entomology
2. Molecular biology and Biotechnology
3. Cell biology and Genetic
4. Developmental biology
5. Ecology
6. Environmental science
7. Vertebrates Biology

LENGO LANGU KUU NIKUA ASSISTANT LECTURER KWAHYO NAOMBA USHAURI WENU TUKIZINGATIA SOKO NA MAHITAJI

ASANTENI
kweli walimu wanahali ngumu sijui hizo elemu watakujafaidi lini wakati kuna watu wana certificate wanatusua maisha
 
Back
Top Bottom