Nicodemas Maganga, Mbunge wa Mbogwe ataka Kisukuma kiwe Lugha ya Biashara Tanzania

Duuuuuuh Kama hawa ndio wasomi wetu Basi tume kwama pakubwa Kama taifa, maskini nchi yangu Tanzania 🚶🚶🚶🚶
 
Safari hii tuna bunge limejaa uharo mtupu! Mwendazake hakututendea haki kwa kweli!
 
Haya ndo matokeo ya kuwa na ma-muth@f**k*rs kwenye bunge

huyu si ndo yule aliyedai mshahara wa wabunge hautoshi?sasa mnategemea achangie nn?wananchi tuwe makini kuchagua wabunge wetu.
 
Huyu nae usikute alipita bila kupingwa!!!!
 
Sukuma watabakia tu kuwa washamba na ujinga juu...hapa ndio level yake ya kufikiri ilipofikia..
 
Boga kabisa, akili kama njengere, hawa ndio watu wa kuwategemea kuleta mabadiliko posive hii nchi ??
 


Sukuma gang wamechanganyikiwa. Wasukuma wote ni 16% wanaozungumza ni chini ya hapo!. Pelekeni ukabila wenu huko huko kwenu
 
Huyu nae wananchi wanategemea atafanya wonders? Nafikir wananchi wameshajua wanafeli wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…