Nicolae Ceauşescu: Swahiba wa Julius Nyerere, Rais wa Romania na mjamaa kindakindaki aliyeuawa kifo cha kumiminiwa risasi na wanajeshi (Firing Squad)

Nicolae Ceauşescu: Swahiba wa Julius Nyerere, Rais wa Romania na mjamaa kindakindaki aliyeuawa kifo cha kumiminiwa risasi na wanajeshi (Firing Squad)

Punguza ubishi kijana

Bi Jacqueline mimi siyo kijana hata kidogo.

Naifahamu vyema concorde na hata tulikuwa tunaiona kwenye tv. Hata siku ndege inapelekwa museum ilitoka live kwenye tv.

Concord ilikuwa na special airway na ilikuwa inatua kwenye airports maalumu duniani. Ilikuwa na uwezo wa kusafiri zaidi ya speed ya sauti.


Hebu jaribu kugoogle Concorde aeroplane uone.
 
Bi Jacqueline mimi siyo kijana hata kidogo.

Naifahamu vyema concorde na hata tulikuwa tunaiona kwenye tv. Hata siku ndege inapelekwa museum ilitoka live kwenye tv.

Concord ilikuwa na special airway na ilikuwa inatua kwenye airports maalumu duniani. Ilikuwa na uwezo wa kusafiri zaidi ya speed ya sauti.


Hebu jaribu kugoogle Concorde aeroplane uone.
Kweli wewe mkongwe ila unaandika kama kijana
 
Back
Top Bottom