Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

Kama unaikumbuka ile nyimbo ya sumalee hakunaga yule video kile kidem jamaa alikua anakibembeleza na kucheza nako ndio huyu kwa sasa"
 
Hua nafurahi sana kuona watu wanatapeliwa kwa style kama hizo, mpumbavu mmoja anamuamini mtu kisa ana mataco makubwa basi πŸ˜‚

Yule nabii wa Congo amewanyoosha watu, na bado kuna watu wa kanisani kwake wakawa wanamtetea tena hadi kwenye vyombo vya habari πŸ™Œ aisee sisi watanzania ni wapumbavu mno na bado wapumbavu wataendelea kunyooshwa.
 
Kama unaikumbuka ile nyimbo ya sumalee hakunaga yule video kile kidem jamaa alikua anakibembeleza na kucheza nako ndio huyu kwa sasa"
Dah em ngoja niingie YouTube aisee dah πŸ™Œ kama n yeye kweli bc acha watu wawe matapeli tuu mana kwa mwili ule afu now ana mwili huu wa sasa bc sio poa kuuhudumia n lazima uwe tapeli na malayaπŸ”₯
 
Elimu ni kitu Cha msingi sana shida elimu wengi hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…