Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Nje ya Mada
Mwakwinyo bado yupo sero?
Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga linaendelea na uchunguzi wa tukio la bondia Hassan Mwakinyo (29) anyetuhumiwa kwa kumjeruhi na kumshambulia mvuvi Mussa Ally (21) mkazi wa Sahare Jijini Tanga

Akizungumza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Almachius Mchunguzi amesema baada ya tukio hilo wameanza uchunguzi huku wakiendelea kumshikilia Mwakinyo.
 
Bado mdogo sana 32 yrs tu halafu janja janja nyingi hivi.

Mambo kama haya ya uhalifu ukifanya unahakikisha unaweka akiba ya kutosha kwaajili ya kina Kibatala ili uwe na uhakika wa kushinda kesi endapo utakamatwa.

N de A
 
Huyo anapiga picha na dola lak...i ila yeye mtaji wake tako n ziwa jipe vimeshindwa kumpa 46m...siku hizi kesi ya upigaji mnatakiwa mtoe nusu ya prsa mliyopiga kama dhamana
Anakwambia yeye kwa siku akitoka matembezini kwenye pochi yake hakosi milion 2 kumbe hela za upatu za watu. Hawa watu ni hatari kwa taifa
 
Duuh,kimeumana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…