OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sasa kama anaitwa Joyce Mbaga hiyo Nicole Berry alilitoa wapi?Mbona hapo Tako silioni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama anaitwa Joyce Mbaga hiyo Nicole Berry alilitoa wapi?Mbona hapo Tako silioni?
Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga linaendelea na uchunguzi wa tukio la bondia Hassan Mwakinyo (29) anyetuhumiwa kwa kumjeruhi na kumshambulia mvuvi Mussa Ally (21) mkazi wa Sahare Jijini TangaNje ya Mada
Mwakwinyo bado yupo sero?
Safi sana, nilisikiliza jirani zake jana nikaona Hassan ni mshenzi
Bado mdogo sana 32 yrs tu halafu janja janja nyingi hivi.Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.
View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
UtafirisikaIngekuwa mamlaka yangu huyu asingeguswa badala yake nakamata wote waliotapeliwa. Wakaonyeshe upuuzi wao sero
Anakwambia yeye kwa siku akitoka matembezini kwenye pochi yake hakosi milion 2 kumbe hela za upatu za watu. Hawa watu ni hatari kwa taifaHuyo anapiga picha na dola lak...i ila yeye mtaji wake tako n ziwa jipe vimeshindwa kumpa 46m...siku hizi kesi ya upigaji mnatakiwa mtoe nusu ya prsa mliyopiga kama dhamana
Duuh,kimeumana!Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.
View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
Mrs van, wewe unatoka na ngapi bibie?!Anakwambia yeye kwa siku akitoka matembezini kwenye pochi yake hakosi milion 2 kumbe hela za upatu za watu. Hawa watu ni hatari kwa taifa
Mkuu kumbe Ferdinand komba polisi usa river kala mvua 20? Ni miongoni mwa wale walimbambikizia kesi mzee Maeda.Huyo anapiga picha na dola lak...i ila yeye mtaji wake tako n ziwa jipe vimeshindwa kumpa 46m...siku hizi kesi ya upigaji mnatakiwa mtoe nusu ya prsa mliyopiga kama dhamana
CCM imemtumia halafu imemuachaWasanii na chawa wa ccm wanahisi kuwa wakifanya haya wakajiweka ccm watakuwa wanapewa upendeleo wa kila jambo.
Ujinga tu tz hua wanaficha hayo ya kibantu ili waonekane waustalia wazidi kuaminiwaSasa kama anaitwa Joyce Mbaga hiyo Nicole Berry alilitoa wapi?
Hata mimi hilo kwakweli limenishangaza, sio pesa taslim hata mali isiyohamishika tu!! Yaani hamna mtu anaewaamini mwenye walau nyumba dsm!!Amekosa mali isiyohamishika ya kiasi hicho? Hawa watu wa mitandaoni jamani