Inategemea naenda wapi lakini mimi kwenye wallet yangu hua 50K-100K zikiwepo nakua na amani nikitoka.Mrs van, wewe unatoka na ngapi bibie?!
Makeup zinabadili watu jamani😀Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.
View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo😂😂😂😂😂Joyce Mbaga (32) maarufu kwa jina la (Nicole Berry) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam mbele ya Hakimu Ramadhan Rugemalira kwa tuhuma za kupokea Shilingi milioni 185.5 kutoka kwa umma bila kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Mbali na Berry, mshtakiwa mwingine ni Rehema Mahanyu (31). Kwa pamoja wanatuhumiwa kwa makosa matatu, likiwemo la kuongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa umma na kupokea amana kutoka kwa umma bila leseni.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 24, 2025, ambapo washtakiwa hao wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana ya kuwa na wadhamini wawili na kuwasilisha mahakamani fedha taslimu Shilingi milioni 46.3 au hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.
View attachment 3266353View attachment 3266355View attachment 3266356View attachment 3266357
Nicole Berry ilikuja baada ya kuongeza trakoo😂Sasa kama anaitwa Joyce Mbaga hiyo Nicole Berry alilitoa wapi?
Kwamba Joyce haliendani na uzuri wa tako? DaaahNicole Berry ilikuja baada ya kuongeza trakoo😂
Dume zima linacheza upatuIngekuwa mamlaka yangu huyu asingeguswa badala yake nakamata wote waliotapeliwa. Wakaonyeshe upuuzi wao sero
HahahaSisi wengine tuko nanjilinji. Sio kila wakati tunaingia hapa kujua yanayoendelea. Hujaweza kufikiria hata kidogo wapo wengi watakaofungua Uzi huu tu hawajui hawa ni akina nani? Walifanya nini?. Uandishi mzuri ilipaswa ujazie pia walifanya nini? Wapi?
TapeliSasa kama anaitwa Joyce Mbaga hiyo Nicole Berry alilitoa wapi?
Les wa Segerea watajipigiaKwahiyo ameenda segerea duh! Pole yake
Les ndiyo kina nani mkuu?Les wa Segerea watajipigia
Ni mende wa kikeLes ndiyo kina nani mkuu?
Duh kumbe kazi anayoNi mende wa kike
Safi kabisa,waliokulea wape maua Yao!Inategemea naenda wapi lakini mimi kwenye wallet yangu hua 50K-100K zikiwepo nakua na amani nikitoka.
Siku hizi mtu unatembeaje na cash 2M na zaidi kama sio ulimbuken au pesa hujazitolea jasho. Kuna lipa kwa simu mpaka kwenye bajaj, kulipa kwa bank kupo unatokaje na mamilioni
Alitumia fursa kinyume Cha Sheria ,nayo Sheria unataka ijilizishe ana kesi ya kujibu au laa!Duh kumbe kazi anayo
Ndio ujifunze, wanakuzunguka na kukusifia leo, ndio hao hao watakaa pembeni wakati wa matatizoAlooo sasa mbona mabff hatuwaoni