Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Hizi mada zinakuja sana humu JF,na wengi wanaochangia ni watanzania waliojaa husuda, fitina, kukatishana tamaa na kebehi nyingi tu, mtoa hoja sikiliza mkuu maisha ni popote hapa duniani, kufa tunakufa popote usiogope, jiandae kisaikolojia kichwani na uelewe na uamue kuwa no turning back, good luck mkuu nenda kajaribu maisha, kule kuna dudula hapa kuna panya road usiogope, ukifika wabongo kaa nao mbali sana, wengi wako kama hawa humu wanaokukatisha tamaa, jhb ni kama Dar, pilika nyingi, mzunguko wa pesa upo, kifo kipo mkononi ila ndio sehemu ya kutafuta, Durban kuna opportunities nyingi sana hasa za ujenzi baada ya yale machafuko ya July, Capetown ni mji mzuri mno ila kwa waliojijenga tayari, kuko peace ila cost of living ipo hai, kwangu kama umekomaa kichwani ingia jhb straight, again kiswahili cha kibongo wakimbie, jichanganye na warundi,wakongo, wakenya even wapopo, good luck mkuu,ukifanikiwa on the way back via lingusenguse tusalimiane
 
Wakuu heshima zenu.
Moja kwa moja kwenye mada husika.

Nataka kwenda South Africa kujaribu bahati yangu huko pia,maana uwanja wa nyumbani naona maji yananizidi kina kila uchwao...simaanishi kwamba nimejaribu kila kitu hapa nyumbani bongo "hapana" ,ila kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa wanaume tunavifanya pale tunapokuwa desperate kuelekea the point of hitting-the-rock-bottom kwaajili ya kupata chochote kitu...sasa kusema ule ukweli siwezi kuvifanya hapa nyumbani(na hii ni kwasababu zangu binafsi ambazo kwako huenda ukaona ni sababu za kipuuzi,ila utofauti huu wa kimtazamo ndio sifa moja ya binadamu kamili right?)....

Sasa baadhi ya vitu ambavyo nipo tayari kuvifanya nje na sio hapa nyumbani ni kama kubeba mizigo bandarini/viwandani,kuuza vitu kwenye traffic jam,kutembeza bidhaa kitaa(street vendoring),....nk nahisi ushapata picha nini namaanisha.
Sasa kati ya nchi zote nimeichagua south africa sababu ya diversity ya hustlers waliopo kule, sasa shida ni kwamba siyajui kiundani majiji haya matatu Capetown, Pretoria na Johannesburg.

Hivo kwa mwenye kujua au anayeishi katika moja ya majiji hayo naomba kujuzwa taarifa za msingi kuhusu majiji haya matatu.
Asante.

"We're born to suffer"
Lucky Dube
Kama huna Elimu na Akili ila una DNA ya Uwizi na Utapeli nenda Johannesburg, ila kama unazo nenda Cape Town ambako patakufaa na hutojutia.

Safari Njema.
 
Hizi mada zinakuja sana humu JF,na wengi wanaochangia ni watanzania waliojaa husuda, fitina, kukatishana tamaa na kebehi nyingi tu, mtoa hoja sikiliza mkuu maisha ni popote hapa duniani, kufa tunakufa popote usiogope, jiandae kisaikolojia kichwani na uelewe na uamue kuwa no turning back, good luck mkuu nenda kajaribu maisha, kule kuna dudula hapa kuna panya road usiogope, ukifika wabongo kaa nao mbali sana, wengi wako kama hawa humu wanaokukatisha tamaa, jhb ni kama Dar, pilika nyingi, mzunguko wa pesa upo, kifo kipo mkononi ila ndio sehemu ya kutafuta, Durban kuna opportunities nyingi sana hasa za ujenzi baada ya yale machafuko ya July, Capetown ni mji mzuri mno ila kwa waliojijenga tayari, kuko peace ila cost of living ipo hai, kwangu kama umekomaa kichwani ingia jhb straight, again kiswahili cha kibongo wakimbie, jichanganye na warundi,wakongo, wakenya even wapopo, good luck mkuu,ukifanikiwa on the way back via lingusenguse tusalimiane
Daah!!! Shukurani sana bro angalau umenisaidia kufunguka....hilo la kukaa nao mbali nikifika nishalifanyia kazii...nikifika ni utekelezaji tu!!
Shukurani pia kwa mchanganuo mzuri na kuongezea kuhusu Durban pia.
 
Mshana Jr ur welcome to share ur experience

Mkuu mtoa Mada don't Afraid anything Watanzania ni watu wapumbavu they thought like a kid , Wanapenda kutoa vitisho kwa watu wakati hawajui chochote kuhusu hustling life zaidi ya ngono tu .


The same mimi Kuna moment nilipitia huko Bukoba ngumu Sana nilipoamua kuondoka kwenda sehemu kupambana Kuna watu walinipa vitisho .

Now I'm matured enough siko tiyari kusikiliza upumbavu wa Mbongo.
 
Mkuu usipepese macho nenda Johannesburg ndio mji wa biashara na mishe zote ni kama Dar kwa Tz ila kwa vile huna pesa ni lazima uwe mwizi upige mchomoko!,ama uwe pusha uwe utatumwa kupeleka madawa ya kulevya sehemu ama uuze bangi yakutoka Swaziland,kinyume na hapo itakuwa ni uongo ndugu yangu !,ukifika prichard & devas msalimie Mamba panshop kiongozi [emoji851]
 
Mshana Jr ur welcome to share ur experience

Mkuu mtoa Mada don't Afraid anything Watanzania ni watu wapumbavu they thought like a kid , Wanapenda kutoa vitisho kwa watu wakati hawajui chochote kuhusu hustling life zaidi ya ngono tu .


The same mimi Kuna moment nilipitia huko Bukoba ngumu Sana nilipoamua kuondoka kwenda sehemu kupambana Kuna watu walinipa vitisho .

Now I'm matured enough siko tiyari kusikiliza upumbavu wa Mbongo.
I'm proud of people like you man🙌🏼
 
Mshikaji wangu wa rika langu alienda dizonga mwaka 99 na amerudi ni teja na ana waya. Tumempa bajaji washkaji zake tuliokuwa pamoja. Kazaa na mzuru na mtoto wamemchukua wazuru.
Unapata faida ku-share negativity
Watz bana Mtu aneanda kuhustle then unatoa vitisho what the kind of shit!?
 
Mkuu usipepese macho nenda Johannesburg ndio mji wa biashara na mishe zote ni kama Dar kwa Tz ila kwa vile huna pesa ni lazima uwe mwizi upige mchomoko!,ama uwe pusha uwe utatumwa kupeleka madawa ya kulevya sehemu ama uuze bangi yakutoka Swaziland,kinyume na hapo itakuwa ni uongo ndugu yako!,ukifika prichard & devas msalimie Mamba panshop kiongozi [emoji851]
Usjalii mkuu....huyo mwamba lazima nifike kwakee
 
Mbona povu limekutoka ivo mkuu??
Kwani anayeenda ni wewe au mimi...bongo hapa hapa kuna watu wanaishi kama mbwa na nchi yao...ni kubadilisha mazingira tu lakini tukiongelea swali la mtindo wa maisha kiujumla hakuna jipya linalofanyika nchi nyingine afu bongo halipo....
Tatizo lenu vijana wa sasa ni wavivu,tena mnatamaa sana,wewe unadhani ukienda huko ndo utakuwa tajiri,kwqnza sasa hivi wenyeji hawataki ngozi nyeusi tena,unaenda kuishi maisha ya tabu sana
 
Tatizo lenu vijana wa sasa ni wavivu,tena mnatamaa sana,wewe unadhani ukienda huko ndo utakuwa tajiri,kwqnza sasa hivi wenyeji hawataki ngozi nyeusi tena,unaenda kuishi maisha ya tabu sana
Yaan nmegundua ni kwanini inafikia hatua mpaka mtu anaamua kutukana....mkuu umesoma vizuriii uzi wangu??? em nionyeshe ni wapi nimesema naenda kutafuta utajiri???
Afu usivo na aibu unasema eti ngozi nyeusi haitakiwiii na ni nchi ya bara lako la Afrika nnayoongelea, je ningesema naenda UK au USA ungesemaje????...
 
Unapata faida ku-share negativity
Watz bana Mtu aneanda kuhustle then unatoa vitisho what the kind of shit!?
Sikupi vitisho, nakupa ya mambo yanayotafuna vijana Dizonga. South ukiwa na hela au hauna waya na poda ni vitu vinavyotakiwa kuwa kichwani mwako kila ukiamka au ukilala. Nenda ukifika utakumbuka hii kauli kwa mazingira utakayo yakuta.
 
Back
Top Bottom