DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
We hupo depressed SanaWewe bwabwa maisha yapo Botswana sasa,South zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hupo depressed SanaWewe bwabwa maisha yapo Botswana sasa,South zamani
Mtoto wa kiume kaumbwa na koromeo,acha tabia za dada akoAcha kulazimisha kila mtu awe kama wewe bro!!! Fata mambo yako khaa!!!
Unamuwazia mwanaume daahWe hupo depressed Sana
Kuna sehemu yenye ubaguzi zaidi ya USA???Wa south Africa ni wabaguzi huko,fanya maamuzi sahihi.
Xenophobia ipo huko
Sawa,maamuzi ni yakoKuna sehemu yenye ubaguzi zaidi ya USA???
OkayMtoto wa kiume kaumbwa na koromeo,acha tabia za dada ako
Mnazingua Sana nyie vilaza mnaogopa kutafta MaishaUnamuwazia mwanaume daah
Asante kwa kuligundua hiloSawa,maamuzi ni yako
Mtoa mada yeye hataki kusikia story za hivi,anataka mmwambie story tamtam zile za motivational speakers.Mshikaji wangu wa rika langu alienda dizonga mwaka 99 na amerudi ni teja na ana waya. Tumempa bajaji washkaji zake tuliokuwa pamoja. Kazaa na mzuru na mtoto wamemchukua wazuru.
Ndivyo Amakuambia?Mtoa mada yeye hataki kusikia story za hivi,anataka mmwambie story tamtam zile za motivational speakers.
Mpeni story anazozitaka mkuu.
Tatizo siokuogopa maisha,ninampa muelekeo mahali pakwenda sasa ni Botswana,🇧🇼 South palikuwa na deal 1990 mpaka 2002baada ya ajira kuwa ngumu huko kumetengeneza bifu kwa wazawaMnazingua Sana nyie vilaza mnaogopa kutafta Maisha
Mnazingua Sana nyie vilaza mnaogopa kutafta Maisha
Hivi unafikiri mpaka nimefikia kufanya maamuzi sijui kuhusu hizo story???Mtoa mada yeye hataki kusikia story za hivi,anataka mmwambie story tamtam zile za motivational speakers.
Mpeni story anazozitaka mkuu.
Kwa hiyo?Mshikaji wangu wa rika langu alienda dizonga mwaka 99 na amerudi ni teja na ana waya. Tumempa bajaji washkaji zake tuliokuwa pamoja. Kazaa na mzuru na mtoto wamemchukua wazuru.
Asante kwa kumuuliza...maana naona shobo zimeanzaNdivyo Amakuambia?
Acha kujifanya unajua kila kitu.Tatizo siokuogopa maisha,ninampa muelekeo mahali pakwenda sasa ni Botswana,🇧🇼 South palikuwa na deal 1990 mpaka 2002baada ya ajira kuwa ngumu huko kumetengeneza bifu kwa wazawa
I wish ungelijua hili mapema😊Sawa,maamuzi ni yako
Umeanzisha huu uzi iliupate nini humu?? Kama maamuzi ushaamua kwaiyo unakuja kutuambia unaenda South??mzee huku jamii kunawatu washaenda huko wanakupa muongozo unajifanya ushaamua,hivi ujui kinachoendelea huko,wabongo wanajazana ubalozini wanataka kurudi homeHivi unafikiri mpaka nimefikia kufanya maamuzi sijui kuhusu hizo story???
Sijaja kuomba ushauri wa kwenda au kutokwenda.... nishafanya maamuzi tayari....kilichobaki ni kuyajua hayo majiji vizuri ili niende kwenye moja kati ya hayo...na ndo kilichofanya nianzishe uzi....
Wanaofanya kitu kinachoitwa 'burn the Bridges' hua hawana story mingi Kama zako boss.Hivi unafikiri mpaka nimefikia kufanya maamuzi sijui kuhusu hizo story???
Sijaja kuomba ushauri wa kwenda au kutokwenda.... nishafanya maamuzi tayari....kilichobaki ni kuyajua hayo majiji vizuri ili niende kwenye moja kati ya hayo...na ndo kilichofanya nianzishe uzi....
..ahahahaha sasa mkuu hii mentality wakoloni wangekuwa nayo wangevuka bahari na kuja kututawala na kupata utajiri wetu mkubwa?.walikuwa na ndugu, wajomba,mashangazi huku Africa?.kama waliweza kuja tena kwa safari za hatar sana bila Internet au kujua wanaenda wapi why vijana wa sasa uoga mwingi?Wewe unaenda South umejipangaje??una ndugu huko au jamaa??unachoenda kufanya ni kipi??endelea kukurupuka utakuja hapa kusema ningejua nisingeenda south