Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 354
- Thread starter
-
- #161
Nimeangalia sana hicho kipindi... kumbuka kwenye matatizo mengi ndo kuna fursa nyingi piaa....so niende Pretoria/Capetown/Johannesburg???before haujaenda s.a eb kwanza zama you tube andika " KUTOKA UGHAIBUNI " sikiliza kwanza story za wana uko kiwanjani zikoje ukihisi unaziweza basi nakushauri nenda ila kama hauziwezi stay home jigga.
matatizo yapo ila ayatafutwi mwamba. kama unayatafuta basi utakula na wa kwenu.Mme
Nimeangalia sana hicho kipindi... kumbuka kwenye matatizo mengi ndo kuna fursa nyingi piaa....so niende Pretoria/Capetown/Johannesburg???
Hata me hakuna sehemu nimeandika naenda kutafuta matatizo wewe ndo umeanzisha mada za matatizo.... endapo yakinikuta its okay matatizo ni sehemu ya maisha!!matatizo yapo ila ayatafutwi mwamba. kama unayatafuta basi utakula na wa kwenu.
Kumbe Bongo hakuna hiv🥵Mimi nimempa kisa ili ajifunze kitu! Pia unatakiwa ujue kuwa visa vya vijana kuishia kwenye Poda na Kupata UKIMWI Sauzi ni vingi. Pia jifunze kuwa muungwana acha matusi.
ok . sepa haile sema fanya uache japo mbegu uko s.aHata me hakuna sehemu nimeandika naenda kutafuta matatizo wewe ndo umeanzisha mada za matatizo.... endapo yakinikuta its okay matatizo ni sehemu ya maisha!!
Mwanaume mwoga hivi sijui namuonaje aiseHapa hapa kwa nyerere,ya nini niende ulaya,sijui hata misele ya huko,kuishi kama dikidiki kwenye msitu wa simba mimi siwezi, zamani palikuwa panaishu huko sio sasa hivi binadamu wametengeneza roho mbaya,nisije bure nikatolewa bandana na Figo yangu,ugali wa mlenda na daga wa mwanza nitawapati wapi nikienda huko,daah eti nikabebe maboks,mara town kuuza vinywaji kwenye magari mmhhh nani anataka maisha ya kiwaki hivyoo,naseti mipango na toboa hapa hapa bongo,mbona wazazi wangu wamenilea vinzuri bila ya kwenda South??hauna ndugu wala jamaa sindo unaenda kuwa bwabwa 🤭🤭🤭
Umeonaa....et mwanaume anaogopa kuchukua risk!!! Et mwanaume anaogopa matatizo yaliyopo SA....dahMwanaume mwoga hivi sijui namuonaje aise
🚮🚮🚮 inanikeretega saana sanaUmeonaa....et mwanaume anaogopa kuchukua risk!!! Et mwanaume anaogopa matatizo yaliyopo SA....dah
Sijui dada zetu na mama zetu nao wasemeje!????
Zama gani hizo unazoziongelea????Wewe unatuchora tu,, msafiri hatangazi
Kokote kambi mkuu...kitu ninachokiamini mimi ni kuwa Attitude is better than factskuna jamaa alienda kusaka maisha Zambia aise.nilimuona chizi.ila.sasa mimi ndo naonekana chizi maisha popote komaa
Shukurani kaka... pamoja sanaNenda mwangu kaza, maisha ni Vita.
Acha kumkatisha tamaa jamaa, mtembea bure sio sawa na mkaa bure. Hapo bongo kuna nini cha maana? Bongo sugua kichwa bila shughuli yoyote, pesa huna, maji hamna na umeme wa mgawo !! Si bora jamaa aende tu akapambane South Africa anaweza kutusua na hayo mashida ya maji na umeme yakawa ndoto kwake. Nenda mwana nasikia Capetown ndio kupo powa na kazi ulizozitaja utapata tu huko, muhimu uweke discipline ya pesa na uwe mwaminifu utatoboa tu. Inshaallah.Kama umeshindwa hustle nyumbani ukiwa free kabisaa sidhani kama huko south.A kuna kipya zaidi ya mateso, ubaharia ni jina tuu ila kiukweli hakuna kipya zaidi ya majuto na kuteseka else uwe na kitu cha msingi kinachokupeleka...mark my words!
Shukrani mkuu kwa ushauri wako...Baki dar au nenda mwanza ila kama haiwezekani kabisa basi nenda cape town sababu
1.kuna mall nyingi sana na parks zinatoa part time job sana
2.wazungu wapo wengi na wale wanaajiri sana.
3.Angalau Kuna amani
4.mzunguko wake wa pesa uko vizuri
5.Wakhosa sio wabaya sana kama Zulu
Safari moja huanzisha nyingine....tutafika huko someday,kwa sasa ngoja tuanze na SA vipi lakini mkuu we ushatoboa huko?Kaka ungewezq kuzamia huku... sweden ungetoboa hata miaka mitano humalizi....
Mkuu naomba hiyo connection ya huko ni switch huku nilipoKaka ungewezq kuzamia huku... sweden ungetoboa hata miaka mitano humalizi....