Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha naskia mombasa life ain't that hard kama kanairo...Jamaa alichokisema naskia kipo sana KanairoMombasa
Umewahi ishi kenya? Sehemu gani?Wakenya wapo serious na maisha nyie mnaita roho mbaya
Kampala haina gharama za maisha ni kama mwanza unless uwe mvivuLabda akaishi vijijini lakini sio jijini. Kampala maisha yako juu Bora ya bongo
Nakuru, Kisumu, KanairoUmewahi ishi kenya? Sehemu gani?
Ah jazia nyama mkuu...najua kuna wengine wanaweza kuwa na wazo la kutoka pia wakafaidika kutokana na utakachokisemaNenda Kigali Rwanda utanishukuru baadae.
Wakora 😄😄 wengi.Kenya Pesa ipo Japo kila mtu kenya yuko na yake kwaio kukopa sijui kuazima sio sana
na wakijua wew ni mbongo aghh🤣😂😂wanajua sisi ni wachawi na waongo sema saiv kenya wamechagawa sana Na Mambo anayo fanya LUTO
vicha na wehu ni wengi mmno mtaani
Chumba kupanga bei gani?Kampala haina gharama za maisha ni kama mwanza unless uwe mvivu
Nakuru, Kisumu, Kanairo
Ni sehemu ipi ina wabongo wengi kwenye sehemu ulizowahi kuishi?Nakuru, Kisumu, Kanairo
Unaingelea Kampala ipi?Kampala haina gharama za maisha ni kama mwanza unless uwe mvivu
Nashangaa wakenya wanavyojisifu sana kuwa pesa yao ina thamani.E
Exchange rate sio kitu.
Kama ukiwa Engineer Uganda ukalipwa 10M ya Uganda. Na Engineer wa Tz akalipwa 6.2M ya Tz ,si inakuwa sawa tu?
Kwanini chato?? Ongeza nyama mkuu
Nenda chato
Hii iko mkoa gani?Yes,au nimekosea jina la sehemu?
Ni matombo,karibu sana.
Morogoro milimani,karibu sana.Hii iko mkoa gani?
Nateete, Najjanakumbi, Kawempe, Kireka, Bwaise, Wakiso kifupi Kampala ni cheapUnaingelea Kampala ipi?
Unataka kukaa kwa mandezi nenda shinyangaKwa wakora huko.
Bei kama za bongo nenda mitaa ya industrial area Kabowa, Narukorongo uta enjoy maishaChumba kupanga bei gani?