Nifah ni dada smart wa siku ya leo ktk jukwaa hili

Nifah ni dada smart wa siku ya leo ktk jukwaa hili

Wakuu habari za majukumu?

Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.

Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu

Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
Hivi wenzangu huwa mnajuaje u smart wa mtu? Kwenye avatar ama? Just curious
 
Wakuu habari za majukumu?

Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.

Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu

Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
we ka unamtaka, mwambie tu live, usituzuge.
 
Rudia kusoma tena mkuu utaelewa tu
mpyonko sibishii uamuzi wako wa kumpa u smart Nifah , uko sahihi 100%, ila kwamba wenzangu mna judge vipi kwamba huyu smart ama la (vigezo)! Lengo nataka na mie nikiamua kumpa ninaemtaka u smart basi angalau isiniwie ngumu. Niliomba kusaidiwa hapo tu. Sorry kama nakuwa kilaza kwa kuuliza
 
Wakuu habari za majukumu?

Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.

Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu

Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
Wewe ni taasisi kamili inayeweza kutunuku mabinti nishani ?
 
Yupo mchawi ataibuka kuponda..! Tabia za wachawi kulia msibani huku wakijua wao ndiyo sababu ya mauti ya MAREHEMU.
 
Back
Top Bottom