Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hawa hawakujui, na wakikujua watakutafuta kwa GPS [emoji16]Mkuu mpyonko nakushukuru sana kwa kuutambua na kuuthamini mchango wangu.
Ni watu wenye hekima pekee wanaoweza kuwapongeza wenzao hadharani namna hii maana wanatambua hawatopungukiwa chochote.
Ubarikiwe [emoji120]
kwa nini mkuu leo tu?Wewe ndio smart kwa siku ya leo [emoji4]
nakupenda zaidi nifahAsante mpenzi,ndio maana nakupendaga miss chagga wangu.
Sababu zangu sitoi hapa ili uwe smart wa leo kwangu tukwa nini mkuu leo tu?
basi sawa mkuu nitakuridhisha kwa leoSababu zangu sitoi hapa ili uwe smart wa leo kwangu tu
[emoji4][emoji4]
[emoji4][emoji4][emoji4] Ahsante unazidi kuwa smart kwangu..basi sawa mkuu nitakuridhisha kwa leo
Duuuuuh [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu hawa hawakujui, na wakikujua watakutafuta kwa GPS [emoji16]
Naanzaje. Chanda chema huvikwa pete!Ningeshangaa kama ungetia neno Broh [emoji4]
Shukraan
Yani leo ndio naona,uwiiiiii [emoji85]
Naomba hela[emoji4][emoji4][emoji4] Ahsante unazidi kuwa smart kwangu..
Akikunyima nambie Mimi. Nitarusha.Naomba hela
sawa rafiki ngoja nisubirie mpaka jioni asiponipa nitakuambia unitumieAkikunyima nambie Mimi. Nitarusha.
Sawa. Somo la kucare nilifaulu.sawa rafiki ngoja nisubirie mpaka jioni asiponipa nitakuambia unitumie
umepata mia ya miaSawa. Somo la kucare nilifaulu.