Nifah ni dada smart wa siku ya leo ktk jukwaa hili

Nifah ni dada smart wa siku ya leo ktk jukwaa hili

Wakuu habari za majukumu?

Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.

Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu

Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.



kwelii unamahaba na niffa.
yani hiyoo sentensi tuu unampa JF nobel prize.
 
Wakuu habari za majukumu?

Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.

Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu

Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
Hongera Nifah

Cc Mdakuzi
 
Back
Top Bottom