Hivi wenzangu huwa mnajuaje u smart wa mtu? Kwenye avatar ama? Just curiousWakuu habari za majukumu?
Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.
Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu
Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
we ka unamtaka, mwambie tu live, usituzuge.Wakuu habari za majukumu?
Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.
Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu
Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
Upande upiMkuu jaribu kuwaza na kwa upande wa pili
mpyonko sibishii uamuzi wako wa kumpa u smart Nifah , uko sahihi 100%, ila kwamba wenzangu mna judge vipi kwamba huyu smart ama la (vigezo)! Lengo nataka na mie nikiamua kumpa ninaemtaka u smart basi angalau isiniwie ngumu. Niliomba kusaidiwa hapo tu. Sorry kama nakuwa kilaza kwa kuulizaRudia kusoma tena mkuu utaelewa tu
Wewe ni taasisi kamili inayeweza kutunuku mabinti nishani ?Wakuu habari za majukumu?
Nimetafakari maneno yaliyo kwenye moja ya post za Nifah nikajisikia kumtunuku kuwa ni Dada smart wa siku.
Kilichonivutie kwake ni kipande hichi cha sentensi na nukuu "what am trying to say is....mapenzi ya ukweli yapo haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila naamini yapo." Mwisho wa kunukukuuu
Hii ni kwa mtazamo wangu. Ktk kutia moyo na wakupromoti Dada zetu nawewe weka wazi yupi ni Dada smart kwa siku ya leo kwako, utupe na sababu.
Yaani siku mapenzi yetu yakikomaa yakafikia kwa akina nifah na the bold ntafurahi sana
Rubii thibitisha habari hii kama ni ya kweliMkuu mm ninaye wangu rubiii sina haja na mwngine