Nifah ni dada smart wa siku ya leo ktk jukwaa hili

Hivi wenzangu huwa mnajuaje u smart wa mtu? Kwenye avatar ama? Just curious
 
we ka unamtaka, mwambie tu live, usituzuge.
 
Rudia kusoma tena mkuu utaelewa tu
mpyonko sibishii uamuzi wako wa kumpa u smart Nifah , uko sahihi 100%, ila kwamba wenzangu mna judge vipi kwamba huyu smart ama la (vigezo)! Lengo nataka na mie nikiamua kumpa ninaemtaka u smart basi angalau isiniwie ngumu. Niliomba kusaidiwa hapo tu. Sorry kama nakuwa kilaza kwa kuuliza
 
Wewe ni taasisi kamili inayeweza kutunuku mabinti nishani ?
 
Yupo mchawi ataibuka kuponda..! Tabia za wachawi kulia msibani huku wakijua wao ndiyo sababu ya mauti ya MAREHEMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…