Bila juhuze zetu hayawezi kukua. Acha kurukaruka mpnz magonjwa mengi
Ningekuwa sijui nisingesemaMkuu unajua maana halisi ya mapinduzi?
Ndo ile aliyoikamata sizonje jana ikiwa kwenye kontena tuombe Mungu wasiitafishe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo ile aliyoikamata sizonje jana ikiwa kwenye kontena tuombe Mungu wasiitafishe
Acha wivu jirani,khaaaaaa!Labda smartphone
Asante mpenzi,ndio maana nakupendaga miss chagga wangu.hongera nifah
Mkuu,mapenzi yanahitaji uvumilivu sana.Yaani siku mapenzi yetu yakikomaa yakafikia kwa akina nifah na the bold ntafurahi sana
Wewe ndio smart kwa siku ya leo [emoji4]hongera nifah
Hiyo ni kawaida mkuu,nimepitia mengi sana JF hii,nimepondwa sana.Yupo mchawi ataibuka kuponda..! Tabia za wachawi kulia msibani huku wakijua wao ndiyo sababu ya mauti ya MAREHEMU.
Hahahaaaaa nimecheka sana mkuu,dah!Ndo ile aliyoikamata sizonje jana ikiwa kwenye kontena tuombe Mungu wasiitafishe