Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana



Sbb mlikuwa katika mapenzi tu, na hamjafikia hatua ya ndoa, sio mbaya, mme enjoy and things didn’t go to your expectations, let it go…!!

Keep moving, opportunity dances with those already on the dance floor..!! So never stop looking for your next soulmate..!!! Life is full of sweet moments…!! Kila la kheri..!!
 
🤣🤣🤣Unamuonea sana huyo jamaa
Mimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.

Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.
 
hahahahaha dah
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pole sana na hongera kwa kuweka wazi kuanzia mwanzo na mwisho wake umeuweka wazi pia.

Haya maisha yana vitu vingi sana kuna wakati tunaepushwa jambo fulani bila kujua pengine mahusiano yenu yangedumu mmoja wenu angekata moto ili lisitokee hilo mahusiano inabidi yajifie so wakati mwingine hatupaswi kulaumiana ni kuiacha nature iamue. Ombi moja kwako nakuomba basi hata kama mmeachana mwambie arudishe majeshi jf bado tunawajitaji wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…