Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Yani Wana ujasiri aisee wanafaa hata kwenda kwenye vita [emoji3]
Watu wadate kimya kimya mkiachana kilamtu anakula hamsini zake maisha yanaendelea
Si ndiyo...

Kuna hilo Husiano moja lilikuwaga humu[emoji1]Enzi hizo Bidada kila sehemu ni kumtaja jamaa...

Jamaa akija ana'like tu.. hajibu wala nini...Ni kama jamaa alikuwa hapendi ile kitu..

Sasa hivi sijui hata lilishiaga wapi[emoji1]
 
Ok. SASA UNATAKA TUFANYE NINI? AU HILO LINATUATHIRI VIPI SISI WA JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…