Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Watu wanaolewa mpaka miaka 31, juzi kati hapa Kuna mwanamke katolewa mahari mil 3+ akiwa na miaka 31.
Wakati wa Mungu ni sahihi, kikubwa ajitunze, awe na tabia njema, mtaani asiwe mtu wa kuonyesha ana wanaume tofauti tofauti. Awe stoic.
Alhamdulillah, najitahidi.
Mungu ataleta kheri zake InshaAllah 🙏🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…