Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Hawavumi lakini wamoKila topic kufosi kuji update 🚮
Hanii we wantesaaaaa😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawavumi lakini wamoKila topic kufosi kuji update 🚮
Emu sema wewe mrembo.. kila kona unafosi kupita na vitu vya enzi ya Nyerere kweli?Nyieee mabinti mmenishinda tabia 😂😂😂🙌
Yaaani kila Uzi...Hata Visivyohusiana...Kujipa umuhimu hamna kingine[emoji23]
Alhamdulillah, najitahidi.Watu wanaolewa mpaka miaka 31, juzi kati hapa Kuna mwanamke katolewa mahari mil 3+ akiwa na miaka 31.
Wakati wa Mungu ni sahihi, kikubwa ajitunze, awe na tabia njema, mtaani asiwe mtu wa kuonyesha ana wanaume tofauti tofauti. Awe stoic.
Nimeona text yako mdogo wangu tsup njoo tuyajengeKipenzi changu nakutafuta ..haurespond[emoji17][emoji17]
Kwenda huko.🤣🤣🤣 nimefanyaje?
Baby tulia😂😀🤣🤗We dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi🐒
Huu uzi ni wa Nifar
Okay....vizuri.Nimesema mwenyewe, ni ukweli na uhakika darling.
Tutajuaje kinachoendelea sasa jamani khaa😂🤭Emu sema wewe mrembo.. kila kona unafosi kupita na vitu vya enzi ya Nyerere kweli?
Kwamba tofauti na hayo we huna content nyingine?
Ahaa hapana bhana 🚮
Haipendezi mtu kuwa mzembe hivyo.
🤣 sina pa kwenda, ndio kwanza napika hapa😂Kwenda huko.
Shem smart anaendeleaje [emoji16][emoji16]
Pambana na wewe angalau upate ndoa[emoji205]
Subiri mwaka 2024 nitakunong'oneza kitu.🤣 sina pa kwenda, ndio kwanza napika hapa😂
Wewe mbaya sana Jo😂
😂😂😂 siku hizi nalala mapema sana huenda 2024 inikute kitandaniSubiri mwaka 2024 nitakunong'oneza kitu.
Dah kumbe na wewe una penda ubuyu🤣😂🏃🏃Tutajuaje kinachoendelea sasa jamani khaa😂🤭
2024 ni kubwa ina siku 366😂 nitakusapraizi😂😂😂 siku hizi nalala mapema sana huenda 2024 inikute kitandani