Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mdogo mdogo uta kuingia kwenye damu ๐๐Hua napita kimyakimya, sijui nimepatwa na nini hadi nimeropoka๐ค๐ค
Sasa kwenye uzi huu smart kaingiaje si anataka kuleta mada juu ya mada ili uzi wa mwenzie upewe ban๐คจHahaha kila uziii
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃJamani upoMimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.
Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
Topic ya watu hapa inaendea kubadilika, uswahili tu.Tutajuaje kinachoendelea sasa jamani khaa๐๐คญ
๐๐๐Basi muache bhana, usije pigwa ban za ajabu๐ค
Vipi unanitaka ?Fungua PM Jay basi
Nimecheka sana ๐คฃ๐คฃ๐คฃKuna Oligarch gani mwenye weledi uliotukuka aliyeingilia mapenzi yenu? Inaonekana huyo somo ni jasusi bobevu kwenye hizo mambo za kuharibu mahusiano
Haha naona umeiogopa kama ukomaKabisa mkuu, kikubwa na kuongeza umakini kwenye uandishi wako tu
Kwakweli.. Isije tukaona not open for futher replies๐๐Topic ya watu hapa inaendea kubadilika, uswahili tu.
Mwaya Nifah tusamehe ๐๐ tuendelee na uzi. Looh!
Ndo uanaume huoo!Akitomba uache kuchambana uwe fair [emoji23][emoji23]
Safi Toto zuri ๐๐, that's why I love you more๐ค๐๐๐
Ameen Yaraby ๐๐ฝ๐๐ฝAiseee mimi binafsi nimehuzunika sana kwa sabb ukiona wawili waliopendana wametengana tambua kuna vitu havikuwa sawa.
Inaumiza kwa kweli ila Pole sana dada,uwezi kuwa mkubwa kama ujawai kupitia maumivu ya mahusiano.
Mungu atujaalie mwisho Mwema.
Sent using Jamii Forums mobile app
๐๐๐๐Kwenye moja na mbiliEmu sema wewe mrembo.. kila kona unafosi kupita na vitu vya enzi ya Nyerere kweli?
Kwamba tofauti na hayo we huna content nyingine?
Ahaa hapana bhana ๐ฎ
Haipendezi mtu kuwa mzembe hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Dokta tulia bas tuparuane leo mpaka mwaka uanze
Wengine mada haziwahusu wanajifanya victims[emoji23]
Bladfakeni moo.[emoji38]
Lee min ho adriz na Lee sung ji Mvaa Kobazi ana kuja๐๐Mapenzi nyoko sana. Anyway karibu kwenye chama cha usingo mimi ndio mwenyekiti
Awapiii,, ni mwanzo na mwisho leo my friend sirudii tenaMdogo mdogo uta kuingia kwenye damu ๐๐
Dah ma blad is boiling ๐๐๐๐ค๐๐๐
Dokta tulia bas tuparuane leo mpaka mwaka uanze
Wengine mada haziwahusu wanajifanya victims๐
Bladfakeni moo.๐
Yaaaani....Pyuuuuu!!!Tufanyaje sasa na ndio love on eyaaa[emoji38]
Baada ya Eva na Adam wapili wao[emoji706]
Ndicho nitakachokifanya sasa dear, kama sio uchumba au ndoa hakuna kuwatambulisha shemeji mpya ๐คฃ๐คฃ๐คฃYani mkiachana maswali ni mengi maneno pia mengi kiasi hata mkisalimiana watu lazima watengeneze story Haina afya ukiwa na mahusiano mengine pia
Bora kuficha had mfikie uchumba au ndoa