Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Naomba nifungulie mlango niingie ndani tafadhali
 
Kwakweli ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ.. Hivi inakuwaga aje mpaka watu wanajua Kama mnadate, au Mimi ndo mshamba wa mapenzi??. Maana naona kinachoumizaga ni Ile aibu watu wanatuonaje na vitu Kama hivyo ๐Ÿค”๐Ÿค”
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃWatu wanawaonaje Tena?tunawaona mnapendana....love is a beautiful thing usiogope kadadaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ