Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanyaje sasa na ndio love on eyaaa😆Yaaani kila Uzi...Hata Visivyohusiana...
Hadi Inakera...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pumbavu
Shukrani MkuuPole sana kwa yote, ila busara ukipata mahusiano mengine usiyaweke hadharani kiasi kile.
Heri ya mwaka mpya.
We dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi[emoji205]
Huu uzi ni wa Nifar
Hua napita kimyakimya, sijui nimepatwa na nini leo hadi nimeropoka🤒🤒Dah kumbe na wewe una penda ubuyu🤣😂🏃🏃
HapanaHawa unafahamu walianzaje yao?
Hakuna cha kutulia analeta upumbavu kuna uzi mzuri wa mshana umefungwa kwa sababu ya kingese 🤨Baby tulia😂😀🤣🤗
Siko hivyo, nikiachana na mtu tumeachana.Mtihani upo kwa kuendelea kuwasiliana na baba watoto, na kama hukuweza kufill ile gap( na hii haiwezekani maana Mungu amemuumba Kila mwanaume tofauti), anaweza pasha kiporo kwake.
Haya2024 ni kubwa ina siku 366😂 nitakusapraizi
Jf wanajua kujipa kazi ya kuweka rekodi sawa.Baada ya hili yakiendelea mapenzi ya show off basi sisi watazamaji hatutakuwa na namna 😂
Kama kujiheshimu peke yako hauweziHawavumi lakini wamo
Hanii we wantesaaaaa😂😂
Kabisa mkuu, kikubwa na kuongeza umakini kwenye uandishi wako tuJf wanajua kujipa kazi ya kuweka rekodi sawa.
Kila neno lako jf linahesabiwa na kuwekwa kwenya rekodi kwa matumizi ya wakati ujao😂
Nisamehewe, LolHakuna cha kutulia analeta upumbavu kuna uzi mzuri wa mshana umefungwa kwa sababu ya kingese 🤨
Basi muache bhana, usije pigwa ban za ajabu🤒Hakuna cha kutulia analeta upumbavu kuna uzi mzuri wa mshana umefungwa kwa sababu ya kingese 🤨
Inaonesha ulikua unacheat au demand yako ipo juu sana. Yaan mmeachana August ila sahv tyr una mpenziNINA MPENZI!
Hamuezi jua mwenzenu, alikuwa bingwa wa somo la Historia😀🤒Nisamehewe, Lol
Una busara mno, mno!Sio lazima labda ifike hatua muhimu zaidi kama ndoa.
Ila mara nyingi, mwanamke anayekupenda anaweza weka wazi ila indirectly ili watu wafahamu kuwa she's taken ila anaweza mficha mtu mpaka wakati sahihi.