Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Acha kuhujumu uchumi kijanaNiko kwenye miezi 6 ya majaribio🤣😂, so no paying Kodi🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuhujumu uchumi kijanaNiko kwenye miezi 6 ya majaribio🤣😂, so no paying Kodi🏃🏃
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.
Hii ni kawaida katika jamii yoyote Babu, usiogope.Ukisoma comments humu ni kama vile watu wamefurahia hao wawili kuachana.
Hii itapelekea wengine kuogopa kuweka wazi mahusiano yao humu.
Na mnafanya na sisi Wazee wenu tuogope kuwatambulisha Bibi zenu kwa kuogopa mtatuchawia tuje kuachana Uzeeni 😜🙌
Nimemimiss sana mdogo wangu Lamomy hebu mwambie anicheck hata PM jamani,najua unajua anapopatikana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
I mean no malice to nobody 😀🤒[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaa
OYaaa usi nipangie kwenye madeli yangu😀😂😂Acha kuhujumu uchumi kijana
Hujataka tu brother!mayatima wa mapenzi kibao humu😇Kuna watu wanamadem zao kumbe hapa ndani, Mimi mbona sipati??
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Na mnafanya na sisi Wazee wenu tuogope kuwatambulisha Bibi zenu kwa kuogopa mtatuchawia tuje kuachana Uzeeni [emoji12][emoji119]
Am sorry Mr DeliOYaaa usi nipangie kwenye madeli yangu😀😂😂
Eeeh shoga humu jf mna mambo,🙌🤔🙄🤭Tayana-wog maombi yetu yatafanikiwa kweli?au tumuombee Missy Gf na yule mzee wake tu😁😁😁
Yeah, Mr deli. U know😀😂🤒Am sorry Mr Deli
RespectYeah, Mr deli. U know😀😂🤒
Watu wanagusanisha vikojoleo kikwelikweliHivi kumbe yalikuwa mahusiano kweli!!
Kipindi hiko nilidhani ni utani wa hapa na pale kama ilivyo kwa couple nyingi humu 😃
Hongereni, love is a beautiful thing. Anzeni 2024 na vibe la mapenzi kama yote.🤣🤣🤣🤣🤣Kuachana mchezo,sie tuko zetu hapa tumechill tunangija mwakampya
🤣 Ulikuwa kwenye maombi Nini mama mtumishi?watu humu nusu wararuane nguo nikakaza kunena sasa wamepoa amani imetawalaEeeh shoga humu jf mna mambo,🙌🤔🙄🤭
Tuendelee kuomba 🤣