Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Uislamu hauruhusu Muislamu kuolewa na asiekua Muislamu, unaolewa na mtu asiekua muislamu kutakua na kheri hapo! Kwanini usifanye subra mpaka upate Mwanamme wa kiislamu mwenye kheri nawe, unaingia kwenye mapenzi na mtu usiemjua na isitoshe sio wa imani yako!

Allah akuongoze dada yangu Nifah , akujaalie upate mume mwenye kheri nawe, nakupenda kwa ajili ya Allah
Mapenzi yaacheni tu Kama yalivyo....who knows huyo asiye muislam anaweza badili dini Kwa sababu yake?
Halafu mtume alisema akija mtu mkamridhia tabia yake muozesheni, hakusema dini yake....muhimu tabia, anaweza kuwa MUISLAMU akawa na tabia mbovu, na aside MUISLAMU akawa na tabia njema.
 
Mapenzi yaacheni tu Kama yalivyo....who knows huyo asiye muislam anaweza badili dini Kwa sababu yake?
Halafu mtume alisema akija mtu mkamridhia tabia yake muozesheni, hakusema dini yake....muhimu tabia, anaweza kuwa MUISLAMU akawa na tabia mbovu, na aside MUISLAMU akawa na tabia njema.
Nimekufeel we mdada
 
Mapenzi yaacheni tu Kama yalivyo....who knows huyo asiye muislam anaweza badili dini Kwa sababu yake?
Halafu mtume alisema akija mtu mkamridhia tabia yake muozesheni, hakusema dini yake....muhimu tabia, anaweza kuwa MUISLAMU akawa na tabia mbovu, na aside MUISLAMU akawa na tabia njema.

Wewe ni Muislamu?
 
Kma ww ni muislam, nimekuchukia kutaka kuolewa na mtu asiyekuwa muislam. Kwani waislam waliisha?. Tujaribu kujielewa, japo sikufahamu ila allah haruhusu hiyo kitu hata kidogo.
 
Sub haanallah, tumuogopeni Mwenyezi Mungu, msifanye yaliyo nje na Uisilamu!

﴿وَمَا هَٰذِهِ الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا لَهْوٌ وَلَعِبٌ ۚ وَإِنَّ الدَّارَ الْآخِرَةَ لَهِيَ الْحَيَوَانُ ۚ لَوْ كَانُوا يَعْلَمُونَ﴾
[ العنكبوت: 64]

Na haya maisha ya dunia si chochote ila ni pumbao na mchezo. Na nyumba ya Akhera ndiyo maisha khasa; laiti wangeli kuwa wanajua!​

 
Kma ww ni muislam, nimekuchukia kutaka kuolewa na mtu asiyekuwa muislam. Kwani waislam waliisha?. Tujaribu kujielewa, japo sikufahamu ila allah haruhusu hiyo kitu hata kidogo.
 

Attachments

  • 1704044183362.jpg
    1704044183362.jpg
    33.2 KB · Views: 8
Kisha tukahamia PM. Huko PM kilichoendelea sitaki kuwasimulia… ila kwa ufupi mwana wane sikutaka ujinga, nikajitutumua, nikafanya yangu… and the rest is history.!

Tangu hapo… we have been crazily in love together!

Najivunia kumpata mwanamke wa dizaini yake, ana heshima, mnyenyekevu, big IQ, beautiful, anajua kukalangiza jikoni na mwenye kujua haswa mapenzi ya dhati… bila kusahau usiku tukizima taa huwa najihisi tumeenda kutalii sayari ya Mars!! Mashallaaahh…
Bila shaka utapata mwingine tena mwenye sifa hizi.


Ila kukaa miaka 7 bila kuhalalisha nalo ni tatizo..
 
Nina imani huyu wa sasa, ana sifa hizi au zaidi ya hizi.

Kila la kheri
 

Attachments

  • Screenshot_20240102-155813.jpg
    Screenshot_20240102-155813.jpg
    532.2 KB · Views: 11
Back
Top Bottom