sasa kimtazamo wako huwez jiona kasoro. Yeye ndie anae ku describe. na features anazo taka
Lazima goli lifungwe kwanza ili lishawishi huo mgandano. Sasa we chelewa chelewa hadi ushindwe kufuzu afcon 2025 uone kama utafuzu ijayo.
Sasa kama ukeshamsoma inabidi uskae kimjinimjini sanaSasa mbona kama umemsemea hiyo kigezo and all I know wanaume warefu huoa wanawake wafupi ni mara chache sana tall man kuoa tall girl so hii cancel haiwezi kuwa reason
Nilichomsoma ni mtu ambae anaogopa wadada wa mjini kupitia story zake
Wanakataaga wengine ohoo
Mmh!! we Mrembo ni mbishi sanaSasa mbona kama umemsemea hiyo kigezo and all I know wanaume warefu huoa wanawake wafupi ni mara chache sana tall man kuoa tall girl so hii cancel haiwezi kuwa reason
Nilichomsoma ni mtu ambae anaogopa wadada wa mjini kupitia story zake
Sasa kama ukeshamsoma inabidi uskae kimjinimjini sana
Mapambano mema.
We mpe tu atambeHahaha ushauri mbaya sana huu
Mmh!! we Mrembo ni mbishi sana
We mpe tu atambe
Hujampa na usipange kumnyimaNishampa ndugu nasubirii feedback [emoji38]
Ndio nimekujua sasa😆Ni kweli ila hajui kama mimi ni mbishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujifanya mwanamke unanufaika na nini ndugu?
Ndio nimekujua sasa[emoji38]
Hujampa na usipange kumnyima
Inasikitisha sanaUjuaji mwingi sana pumzika
🤐🤐😎Mmh kwamba wewe ndio msukuma
Jibu haya maswali, ukijibu kwa ufasaha nitafanya haya....Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…
Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria[emoji3526] najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi..
Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..
Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..
Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo
Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹