Nifanyaje kupata mshindo wa nguvu kama ule wa siku ya kwanza?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Nikiwa na miaka 16 nilipopata mshindo mmoja mkubwa sijawai ona wala ku-experience.

Ilikua ndo mara yangu ya kwanza. Nilikaribia kuzimia masikio yalifunga mwili ulizizima na msisimko mkali uliosambaa mwili mzima.

Actually niliiona dunia kwa namna isiyo ya kawaida. Tangu hapo nilirudia tena na tena lakini sasa n mtu mzima sioni tena ule msisimko nafika mshindo wa kawaida saaana. Had si enjoy

Huwa nawaza nawezaje nikapata mshindo mkubwa. Je, kuna dawa, au kitu nifanye?

NB: Sina tatizo la nguvu za kiume
 
Tendo la ndoa ni tamu na ajabu sana likifanywa na ambae yupo pure/ hajawahi kufanya kitendo hicho. Ili uendelee kupata ilikupasa usifanye tena mpaka uoe maana kufanya na mkeo tuu bado in utakatifu, kwahiyo roho was Mungu atakuwa kati yenu na kuendelea kulihuisha kila Sikh mpka siku mtakapotengana.

Mfano mm kila siku naona ni kama siku ya kwanza coz sijawahi kutoka nje ya ndoa na mwanamke wangu ni huyo hiyo mpka nikamuoa. Usiniulize kama nilimkuta bikra au lah
 

Uliwezaje
 
Unatakiwa ule karanga, korosho, mihogo mibichi, vipande vya nazi mara nyingi halafu ukae hata mwezi hivi hujasex, hakika ukienda kusex siku hyo unaweza kuzimia kwa utamu wa bao utakalolipata!
 
Aise siku ya kwanza ni hatari
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…