Nifanyaje kupata mshindo wa nguvu kama ule wa siku ya kwanza?

Nifanyaje kupata mshindo wa nguvu kama ule wa siku ya kwanza?

Tendo la ndoa ni tamu na ajabu sana likifanywa na ambae yupo pure/ hajawahi kufanya kitendo hicho. Ili uendelee kupata ilikupasa usifanye tena mpaka uoe maana kufanya na mkeo tuu bado in utakatifu, kwahiyo roho was Mungu atakuwa kati yenu na kuendelea kulihuisha kila Sikh mpka siku mtakapotengana.

Mfano mm kila siku naona ni kama siku ya kwanza coz sijawahi kutoka nje ya ndoa na mwanamke wangu ni huyo hiyo mpka nikamuoa. Usiniulize kama nilimkuta bikra au lah
Kwani mkuu unadhani ukituambia kuwa hukumkuta bikra tutakupiga mawe?
 
Sanaaa ndiyo maana mwanaume anahangaika na ngono Sana kuliko mwanamke
Ile kitu ni tamuuu hakuna mfano
Usifikiri wanahonga magar nyumba hivi hivi tuu
Mimi personally huwa nahisi wanawake wakifika kileleni wanaenjoy kushinda sisi..kwa wanavyokuwa wanahangaika tu..
 
.... Ladha kama ile hutokaa uipate maisha yako yote. Kumbuka ile ndio ilikuwa mara ya kwanza kipizzz na hukuwahi ku~experience kitu kama hiko kabla, yaan ni mara yako ya kwanza!
Kwa hiyo sahau jombaaaa......
True
 
Mimi personally huwa nahisi wanawake wakifika kileleni wanaenjoy kushinda sisi..kwa wanavyokuwa wanahangaika tu..
Iko wazi ktk sex wanawake Wana enjoy zaidi kuliko sisi wanaume but endapo Kama watampata mtu sahihi wakuwafikisha panapo stahili
 
Back
Top Bottom