Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga show hadi demu akimbie ni kitu kizuri au ujinga?..Si inabidi akunganganie if she really enjoy the act?..Au unamaanisha yeye kuchoka kabla yako?Fanya mazoezi kunywa maji kwa wingi zen kula vyakula vya kuongeza nguvu kama miogo, ugali kisamvu, viazi mbatata au vitamu achana na machipsi ayo wanayokula wanaume wa dar you thank me later braza nina ushaidi mkubwa sana mm mwenyewe napiga show adi totoz inakimbia
Mimi personally huwa nahisi wanawake wakifika kileleni wanaenjoy kushinda sisi..kwa wanavyokuwa wanahangaika tu..
Nimesema "huwa nahisi",kwa kuwaangalia wakati wakicum..vitu vingine tumia akili ya kawaida.Huo uzoefu wakujua wanawake wanapata utamu kuliko sisi wanaume umejifunzia wapi mkuu !?[emoji851]
Tafuta PESA mkuu,,,,Nikiwa na miaka 16 nilipopata mshindo mmoja mkubwa sijawai ona wala ku-experience.
Ilikua ndo mara yangu ya kwanza. Nilikaribia kuzimia masikio yalifunga mwili ulizizima na msisimko mkali uliosambaa mwili mzima.
Actually niliiona dunia kwa namna isiyo ya kawaida. Tangu hapo nilirudia tena na tena lakini sasa n mtu mzima sioni tena ule msisimko nafika mshindo wa kawaida saaana. Had si enjoy
Huwa nawaza nawezaje nikapata mshindo mkubwa. Je, kuna dawa, au kiitu nifanye?
NB: Sina tatizo la nguvu za kiume
Tafuta PESA mkuu,,,,hakuna namna..Nikiwa na miaka 16 nilipopata mshindo mmoja mkubwa sijawai ona wala ku-experience.
Ilikua ndo mara yangu ya kwanza. Nilikaribia kuzimia masikio yalifunga mwili ulizizima na msisimko mkali uliosambaa mwili mzima.
Actually niliiona dunia kwa namna isiyo ya kawaida. Tangu hapo nilirudia tena na tena lakini sasa n mtu mzima sioni tena ule msisimko nafika mshindo wa kawaida saaana. Had si enjoy
Huwa nawaza nawezaje nikapata mshindo mkubwa. Je, kuna dawa, au kiitu nifanye?
NB: Sina tatizo la nguvu za kiume
Mkuu namaanisha demu kalizika sana yani unampelekea moto mpk kila aendapo anakuwaza kwa iyo nilikuwa namaanisha ivyooKupiga show hadi demu akimbie ni kitu kizuri au ujinga?..Si inabidi akunganganie if she really enjoy the act?..Au unamaanisha yeye kuchoka kabla yako?
Usiniulize kama nilimkuta bikra au lah
AstrazenecaNikiwa na miaka 16 nilipopata mshindo mmoja mkubwa sijawai ona wala ku-experience.
Ilikua ndo mara yangu ya kwanza. Nilikaribia kuzimia masikio yalifunga mwili ulizizima na msisimko mkali uliosambaa mwili mzima.
Actually niliiona dunia kwa namna isiyo ya kawaida. Tangu hapo nilirudia tena na tena lakini sasa n mtu mzima sioni tena ule msisimko nafika mshindo wa kawaida saaana. Had si enjoy
Huwa nawaza nawezaje nikapata mshindo mkubwa. Je, kuna dawa, au kiitu nifanye?
NB: Sina tatizo la nguvu za kiume
P kubwahiyo P ni herufi kubwa.
Puri
😀😀😀😀Kula vyakula vyenye mafuta mengi mfululizo ndani ya mwezi mmoja alafu ukapige bao kama hujapiga kelele za furaha hadi majirani wakaja kukuokoa
Ila kama inhekuwa ni mara ya kwanza kwa mke wake na asichepuke bado angeendelea kupata utamu uleule.... Ladha kama ile hutokaa uipate maisha yako yote. Kumbuka ile ndio ilikuwa mara ya kwanza kipizzz na hukuwahi ku~experience kitu kama hiko kabla, yaan ni mara yako ya kwanza!
Kwa hiyo sahau jombaaaa......
Utakuja kufami siku ya kwanza mwili ulitetemeka huku nacheka ,mdomo niliukunja miguu nikaikunja ,mshindo uliishia nikatoa saut kama ya mbuzi anayekata roho
Wewe ni she au He?Nikiwa na miaka 16 nilipopata mshindo mmoja mkubwa sijawai ona wala ku-experience.
Ilikua ndo mara yangu ya kwanza. Nilikaribia kuzimia masikio yalifunga mwili ulizizima na msisimko mkali uliosambaa mwili mzima.
Actually niliiona dunia kwa namna isiyo ya kawaida. Tangu hapo nilirudia tena na tena lakini sasa n mtu mzima sioni tena ule msisimko nafika mshindo wa kawaida saaana. Had si enjoy
Huwa nawaza nawezaje nikapata mshindo mkubwa. Je, kuna dawa, au kiitu nifanye?
NB: Sina tatizo la nguvu za kiume
Yeye je yupo na wewe tu, hajawahi kufyatuliwa nje??.Tendo la ndoa ni tamu na ajabu sana likifanywa na ambae yupo pure/ hajawahi kufanya kitendo hicho. Ili uendelee kupata ilikupasa usifanye tena mpaka uoe maana kufanya na mkeo tuu bado in utakatifu, kwahiyo roho was Mungu atakuwa kati yenu na kuendelea kulihuisha kila Sikh mpka siku mtakapotengana.
Mfano mm kila siku naona ni kama siku ya kwanza coz sijawahi kutoka nje ya ndoa na mwanamke wangu ni huyo hiyo mpka nikamuoa. Usiniulize kama nilimkuta bikra au lah
Mwezi?,Mimi siku tatu tu km nakula vizuri nikipiga kitu, Mshindo mmoja manii najaza kikombe Cha chai.Unatakiwa ule karanga, korosho, mihogo mibichi, vipande vya nazi mara nyingi halafu ukae hata mwezi hivi hujasex, hakika ukienda kusex siku hyo unaweza kuzimia kwa utamu wa bao utakalolipata!