Nifanyaje kupata mshindo wa nguvu kama ule wa siku ya kwanza?

Jitahidi kuwa unakula msosi wa maana. Ukiamka umeshiba hasa.
Fanya mazoezi mara kwa mara

Punguza chips chips na chakula dizain hio
 
Be blessed.
 
.... Ladha kama ile hutokaa uipate maisha yako yote. Kumbuka ile ndio ilikuwa mara ya kwanza kipizzz na hukuwahi ku~experience kitu kama hiko kabla, yaan ni mara yako ya kwanza!
Kwa hiyo sahau jombaaaa......
 
.... Ladha kama ile hutokaa uipate maisha yako yote. Kumbuka ile ndio ilikuwa mara ya kwanza kipizzz na hukuwahi ku~experience kitu kama hiko kabla, yaan ni mara yako ya kwanza!
Kwa hiyo sahau jombaaaa......

[emoji23]
 
Msije mkaniingiza kwenye ngono jaman. Nam nmekoma kufwatilia visivyofwatika!🤣 but ipo ck
 
Sanaaa ndiyo maana mwanaume anahangaika na ngono Sana kuliko mwanamke
Ile kitu ni tamuuu hakuna mfano
Usifikiri wanahonga magar nyumba hivi hivi tuu
Aisee yani uhonge nyumba,gari kwa sababu ya starehe ya dk kadhaa tu😃heshima yenu wakuu wanaume.🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…