Nifanye ibada kwa njia ipi ili Mungu wangu ajibu maombi yangu kwa haraka?

Stayfar

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
1,088
Reaction score
2,287
Mwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
 
Mwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, Nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
 
Hakuna Swali lisilo na jibu..hata ukifa ghafla tunapima tunajua huyu alianguka kwa pressure au heart attack...point yangu ya msingi NI kwamba Karibu kila Jambo linafahamika.tuambie shida yako isiwe tu ya kutaka kuishi.sisi huko ndo hatupawez kifo NI uhakika.
 
Mwombe katika roho na KWELI bila masharti
 
Stayfar una uhakika watu wema wameisha?


Kuwa muwazi una tatizo/shida gani? Hiyo ndio hatua ya kwanza kwenye kupata suluhisho
 
Hapo kwenye haraka ndipo unapokosea. Yeye haharakishwi. Anajua muda muafaka wa kukujibu, sio wewe umpangie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…