Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kupiga iyo free kick pia pande hii mkuu.Mkuu ni DM nikufundishe kitu, hakika ombi litakubaliwa
Toa sadaka mkuu huku sadaka Hiyo ukiinuia dhidi ya matatizo uliyonayo au Jambo ulilonaloMwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, Nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
Amka saa 9 usiku na ongea naye Mungu kwa namna utayo ona inafaa, halafu concentrate- mweleze Mingu shida zako- atakusikiliza ukinuia haswa... hii bi kutokana na uzoefu wangu kwa mambo niliyopitia na hajawahi kuniangusha katika maombi yangu hasa katika muda huo...Mwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, Nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
Nakuja na Mimi!!!!Mkuu ni DM nikufundishe kitu, hakika ombi litakubaliwa
Mungu hana shortcutMwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, Nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
Unasali dini ipi ndugu ?Msione kimya Wadau nawafuatilia wote maoni yenu.Kuna mtu amedokeza kwamba,kulileta hapa swali langu,huenda nikapata muafaka,na mimi nimeanza kuona.Hebu tuendelee kutoa maoni,najua utanufaisha na wenzangu wenye kiu kama yangu
Well inategemea Mungu wako ni yupi nikimjua nitaweza kukushauri jambo.Mwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, Nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
Mimi ni a Catholic cristianUnasali dini ipi ndugu ?
1.Kabla hujaanza chochote anza na sala ya toba, tubu ujinyenyekeze, jishushe umuombe mungu akusamehe makosa yako unayoyafahamu na usiyo yakumbuka.Mimi ni a Catholic cristian