Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hajakusimanga, Mungu hujibu maombi kwa wakati wake, wewe unatakiwa kujiweka kwake maisha yako yote siyo ukiwa na shida ndo umpe siku Tatu.Umenisimanga badala ya kunipa suluhisho.Mungu hapendi
Sasa hilo swala lina uhusiano gani?Unadhani walioko Sudan au Somalia au kule Ukraine hawaombi au hawana imani?
Hii namba ni ya tapeli wa mtandaoni. Siyo yako kweli hii 0658154533?Hajakusimanga, Mungu hujibu maombi kwa wakati wake, wewe unatakiwa kujiweka kwake maisha yako yote siyo ukiwa na shida ndo umpe siku Tatu.
Wa kujibu unavyotaka wewe mwambie shetani nae atasema lete jogoo mwekundu, ukipeleka tuu anakujibu.
Sasa hilo swala lina uhusiano gani?
1.Kabla hujaanza chochote anza na sala ya toba, tubu ujinyenyekeze, jishushe umuombe mungu akusamehe makosa yako unayoyafahamu na usiyo yakumbuka.
2.Pili mshukuru mungu kwa kile kidogo alicho kujaalia afya na yale yoote mabaya/mabalaa aliyokuepusha ajali, magonjwa etc
3.Samehe wale wote waliokukosea ambao unakinyongo nao, wadeni wako hii sii kwamba ukaonane nao hapana samehe tu ndani ya moyo wako.
5. Udhuria misa takatifu, watu wengi wanafeli hapa ukienda kanisani utapata amani ya moyo hata kama hiyo wiki kuna kitu unafatilia ukienda kanisani ukasali kwa imani mungu atakutendea jambo.
6.Hii ndio main kama unavyojua sala ya kuu ya kuomba ambayo yesu alitufundisha ni Baba yetu. Sasa Tafuta rozali takatifu halafu uwe unaamka usiku kuanzia saa 9 hadi 10 alfajiri usivuke hapo .
Kisha uanze kusali kuanzia huo utaratibu niliokueleza hapo juu ukimaliza chukua rozali uanze kusali baba yetu kulingana na idadi ya zile kete za rozali.
Zile kete zilizoungana ziko jumla 53 sasa utarudia baba yetu mara 53 halafu zile zilojitenga moja moja ziko jumla 6 hizo utasali salamu maria mara 6.
7.Ukimaliza utaunganisha na mahitaji yako unayoomba mungu akutendee. Na usilazimishe wala kulaumu muache mungu akutendee kadri ya mapenzi yake na sio wewe unavyotaka, pengine unaweza kuwa unataka kufanikisha ilo jambo kwa matazamio yako ila mungu anaweza kukuvusha kwa njia nyingine usiyotarajia hadi ukabaki unashangaa
Uko vizuri mkuu1.Kabla hujaanza chochote anza na sala ya toba, tubu ujinyenyekeze, jishushe umuombe mungu akusamehe makosa yako unayoyafahamu na usiyo yakumbuka.
2.Pili mshukuru mungu kwa kile kidogo alicho kujaalia afya na yale yoote mabaya/mabalaa aliyokuepusha ajali, magonjwa etc
3.Samehe wale wote waliokukosea ambao unakinyongo nao, wadeni wako hii sii kwamba ukaonane nao hapana samehe tu ndani ya moyo wako.
5. Udhuria misa takatifu, watu wengi wanafeli hapa ukienda kanisani utapata amani ya moyo hata kama hiyo wiki kuna kitu unafatilia ukienda kanisani ukasali kwa imani mungu atakutendea jambo.
6.Hii ndio main kama unavyojua sala ya kuu ya kuomba ambayo yesu alitufundisha ni Baba yetu. Sasa Tafuta rozali takatifu halafu uwe unaamka usiku kuanzia saa 9 hadi 10 alfajiri usivuke hapo .
Kisha uanze kusali kuanzia huo utaratibu niliokueleza hapo juu ukimaliza chukua rozali uanze kusali baba yetu kulingana na idadi ya zile kete za rozali.
Zile kete zilizoungana ziko jumla 53 sasa utarudia baba yetu mara 53 halafu zile zilojitenga moja moja ziko jumla 6 hizo utasali salamu maria mara 6.
7.Ukimaliza utaunganisha na mahitaji yako unayoomba mungu akutendee. Na usilazimishe wala kulaumu muache mungu akutendee kadri ya mapenzi yake na sio wewe unavyotaka, pengine unaweza kuwa unataka kufanikisha ilo jambo kwa matazamio yako ila mungu anaweza kukuvusha kwa njia nyingine usiyotarajia hadi ukabaki unashangaa
0658154533 hii namba ya tapeli mtandaoni ni yako?Maisha yapo on auto-pilot. Maombi ni useless.
Funga siku tatu au sali novena ya mtatakatifu rita hii ni uhakika nimekuwa nilimtumia sana pale napokamwa gafla napata njiaMwenzenu nina shida ya haraka, ambayo nikiweza kutatua ndani ya siku 3, maisha yangu yatakuwa yamefunguliwa upya. Kila nikiwaza binadamu gani wa kunisaidia simuoni. Tumaini ninaloliona ni kupata msaada toka kwa Mwenyezi Mungu. Wana bodi, Nifanye ibada gani Ili Mungu anisaidie kwa uharaka?
1.OKOKA, MPE YESU MAISHA YAKO
2.TUBU DHAMBI NA KUZIACHA
3.SOMA NENO LA MUNGU
4.KUWA MTU WA MAOMBI KILA SIKU
5.TAFUTA KANISA LA WATU WALIOKOKA UJUMUIKE NAO
0658154533 hii namba ya tapeli mtandaoni ni yako?
Kwaiyo wewe ni mjenzi ambaye ulikuwa umefungwa na sasa upo huru(freemasons). Je ulifanya kosa gani kwenye icho chama mpaka ukafungwa, ulipindisha nyumba ya watu, uliiba cement au uliiba matofali au nondo, au ulikula posho ya mafundi wenzako?Ndiyo. Unataka nikupe connection ya wajenzi huru?