Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

Demu mwenyewe kajileta na kujifanya anataka kufatilia simu ya msela.

Kumbe yeye ndiye mwenye madhambi.
Yaani mademu ni wajanja sana.
Uko sahihi Mkuu hapo amani ya moyo juu yake hauwezi kuipata tena hata kama atapotezea vipi haiwezi potea mood swing za furaha na hasira ataishi nazo siku zote, kiufupi ameshavuruga afya ya akili kwenye upande wa mahusiano.
 
Dooh! Pole mkuu. Me apa shida n vile nimemposa, kwao tunaheshimiana sana na mdogo ake (yaan shemej angu) nimemfungulia mradi mdogo wa kumpa chochote.
Apa kichwa kinauma nikifikiria yote
Sigh! Hii yako inaitwa sunk cost fallacy yaani continuing to throw money at a questionable investment just because you have already committed a substantial amount of time and resources at the investment.

This idea often applies to money, but invested time, energy or pain can also influence behavior. Romantic relationships are a classic one, do not let sunk cost fallacy lead you to an early grave. Ukitombewa, it's a point of no return.
 
Kwan mkuu msoja we moyo wako unasemaje? Asilimia kubwa wachangiaji wanakuambia umpige chini mke wako ukute katika hao wanaokuambia hvo Zaid ya nusu washagongewa either kwa kujua au kutokujua ila still wako na wake zao....
Wote waliowai kua na long distance relationship watakua mashahidi kua wapenzi wanaobaki loyal huwa Ni wachache Sana kwahyo nakushauri msamehe ila uish nae kwa tahadhari kubwa Sana Kama ana tabia hizo atajionesha tuu hawez jificha na hizo picha ndo utatumia kama reference kutoa maamuzi huku ukiufuata moyo wako!!!
 
Hakunaga demu mzuri wa mkoani akaenda dar na kukaa zaidi ya miezi mitatu asigegedwe wewe.🤣🤣🤣 Watu walishapita nae na kumgegeda vizuri.
Anyways ndio maisha ya sasa hayo tuna share mbususu hizi so wee endelea nae tuu. Na wewe kamatia mpango wa kando uenjoy
 
Ukimchunguza sana kuku huwezi kumla, wewe ishi naye ila kwa tahadhari kubwa ukiendelea kumchunguza kwani tayari umeshapata ishara.
 
Kwa upande wangu najiona nipo kwenye mstari kabisa. Sina backups
Basi achana nae katafute bikra ambae hajawahi kuliwa. Usipomkuta bikra ujue kwamba alishafiligiswa sana tu na atafiligiswa tu siku akipata chance.
Na hata huyo bikra ni neema ya mungu tu imlinde akiamua kugongwa atagongwa tu na wahuni maana sio watu wema.
Kama vipi ungana na kataa ndoa uwe na amani
 
Hata huyu hakuwa bikra lkn sikuwaza kasiginwa na wangapi huko nyuma. Nlianza nae ktk point ile ile. Sifaham pia wakati niko naye kaliwa na wangapi japo sijawahi kuona hata dalili za kunistua kuhusu mienendo yake na ndo maana nikamposa kabisa.
Hizi picha na video ndo zmenipiga shock. Zaid n vile zimefanyika kipindi tuko kwa mahusiano.

Ila nashukuru kwa ushaur dr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…