Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

Nyakati zenu zimeisha!

Mwambie hivyo,muonyeshe na picha kwamba Kwa hizi sitokua na imani na wewe Tena maishani tuachane kistaarabu!

Au potezea muishi kisamaria tu!
 
Uzuri mimi sina kupimo cha kujua kama K imetumika je wewe mwenzangu ila hizo video zina shawishi kutumika, hahaaa
 
Uzuri mimi sina kupimo cha kujua kama K imetumika je wewe mwenzangu ila hizo video zina shawishi kutumika, hahaaa
Kutumika tunajua wanatumika wakiwa mbali na sisi lakini linapokuja swala la kupata ushahidi ndio unajihakikishia hapa mali imeliwa kweli. Hapo kwa hizo picha unataka kusema waliishia kushikana shikana tu?
 
Naamin kaka
 
Sasa kwann simu za plz n nyingi baada ya kumrudisha kwao?
Amehisi jua baada ya mwamvuli kuondolewa!

Hawa viumbe ukiwa nao wanakula na kishiba plus kulala na mahitaji yanapatikana Huwa wanaona si kitu kabisa hawaridhiki Hadi wapate MTU Bora zaidi ndio huondoka au wakiachika ndio wanajua umuhimu was MMe!
 
Amehisi jua baada ya mwamvuli kuondolewa!

Hawa viumbe ukiwa nao wanakula na kishiba plus kulala na mahitaji yanapatikana Huwa wanaona si kitu kabisa hawaridhiki Hadi wapate MTU Bora zaidi ndio huondoka au wakiachika ndio wanajua umuhimu was MMe!
Hapo jua la milele na limuangazie tu. Nmejarb kufikiria namna ya ku cope na hali lkn nmeshndwa. Aende kwa kwel
 
Kwanza kabisa,
Wewe na huyo mchumba wako mna mikakati gani kuhusu zoezi muhimu kabisa la uchaguzi wa serikali za mitaa?
Tuanzie hapo kwanza mkuu.
Hii nzuri...
Tumejiandikisha tayari na tuna vigezo vyote vya kupiga kura. tutashiriki kikamilifu

Japo sina hakika na yy
 
Nimeipenda hii,huwa napenda kusema usitafute mambo ambayo ukiyajua yatakuhuzunisha
 
Masikitiko.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…