Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
NakaziaFuti 3.8 sio wastani we ni dwarf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaFuti 3.8 sio wastani we ni dwarf
Ndio ""Paap" Mungu bariki kesho unapata uteuzi wa madaraka kuwa boss sehemu fulani, tuseme "Mkurugenzi wa Halmashauri X""Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Wewe sio mbishi. Au unabisha?Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Kwa dunia ya sasa usipokuwa mbishi wapumbavu kama ccm na kina P diddy na S diddy watakulisha hadi mavii...kuwa mbishi mwenye akili siyo mbishi mpumbavu kama chura kiziwi wa makunduuchi.Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
We anduje tu mzee. Usilete ubishi sasa.Futi 3.8 =45.6 inches =0.000719697 miles
That is not dwarfism
haraka ni kama Mimi, huwa sipendi mtu aelekeze Sana wakati najua anapoelekea, tofauti yangu na wewe Mimi simkatishi...naondoa concentration kabisa na nakuwa bored, siipendi tabia hii basi Tu.Nip9 kama wewe ila nimejifunza kukaa kimya naongea inapobidi tu. Tatizo langu ninalopambana nalo ni kumkatisha mtu anapokuwa akibielezea jambo, nikishamelewa huwa namkatisha ili kumpa jibu, huwa naona ananichelewesha maana nakuwa nishamwelewa ila annaendelea tu kuelezea, tabia hii huwa inawakera watumishi wenzangu hasa ninaowaongoza takriban watumishi30
UtapigwaMkuu malizia unachotaka kusema
ipo dawa fulani ambayo ninya unga,unaiweka kupitia tundu la haja kubwa kika siku mara 2 uje inbox nitakuelezeaHabari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Wewe ni Muha Kutoka Kayenzi Burundi.Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Kama unatokea Kigoma tukikushauri bado utatubishia tuHabari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Kabisa mkuuWaha tusihusishwe
Futi 3 ndio wastani? Mimi nina ft 5"10 .Wewe ni andunje usinibishie.Wa wastani futi 3.8
Atakubishia, ndio kazi yakeFuti 3 ndio wastani? Mimi nina ft 5"10 .Wewe ni andunje usinibishie.