Nifanye nini ili niache tabia ya ubishi?

Nifanye nini ili niache tabia ya ubishi?

kimo Cha maandamano bakia hapohapo

Kama hutukani tu ,hakuna shida na endelea kusoma sana(uko kwenye kundi lakina Dr lwaitama ,general ulimwengu ,TUndulisu ,Dr boganza askofu,katibu wa TEC na TEC yenyewe....sawa mkuu
 
Habari wanaJF,

Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.

Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.

Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.

Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.

Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi.

Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
kata ulimi
 
njia ya kwanza ni kuheshimu mawazo ya wenzio na kijibu hoja zako kwa upole na kwa heshima lengo kuu ni Ku WIN people(kuto mkwaza mtu) sio ku win the urgument.
Asilimia kubwa ya watu wabishi pia huwa ni wenye majivuno ,dharau,kiburi na hujiona kuwa wao ni watu wa muhimu na bora kuliko wenzao.Ni aina ya personality disorder.Pia kama unajiamini sio mbaya kukubali kutokubalina na kila mtu akabaki na msimamo wake na kile anachokiamini hata kama mnatofautiana pasipo kubishana .Na kukubalibkushindwa ndio ushindani.Asiyekubalibkushindwa na kutaka kuwa sahihi muda wote na kuumia anaposhindwa anapokosolewa.Ni tatizo la afya ya akili au tabia.NPD Narcissistic personality disorder .NI UGONJWA SIO SIFA .Unatakiwa uwe humble na utu na utulivu .sio ubishi.ukishinda ubishi mnapobishana unafaidika na nini?zaidi ya SIFA sasa kupenda kusifiwa na utukufu ni majivuno yani ni ugonjwa .pole sana .
 
njia ya kwanza ni kuheshimu mawazo ya wenzio na kijibu hoja zako kwa upole na kwa heshima lengo kuu ni Ku WIN people(kuto mkwaza mtu) sio ku win the urgument.
Asilimia kubwa ya watu wabishi pia huwa ni wenye majivuno ,dharau,kiburi na hujiona kuwa wao ni watu wa muhimu na bora kuliko wenzao.Ni aina ya personality disorder.Pia kama unajiamini sio mbaya kukubali kutokubalina na kila mtu akabaki na msimamo wake na kile anachokiamini hata kama mnatofautiana pasipo kubishana .Na kukubalibkushindwa ndio ushindani.Asiyekubalibkushindwa na kutaka kuwa sahihi muda wote na kuumia anaposhindwa anapokosolewa.Ni tatizo la afya ya akili au tabia.NPD Narcissistic personality disorder .NI UGONJWA SIO SIFA .Unatakiwa uwe humble na utu na utulivu .sio ubishi.ukishinda ubishi mnapobishana unafaidika na nini?zaidi ya SIFA sasa kupenda kusifiwa na utukufu ni majivuno yani ni ugonjwa .pole sana .
 

Attachments

  • images - 2024-10-17T111817.695.jpeg
    images - 2024-10-17T111817.695.jpeg
    50.6 KB · Views: 3
  • images (2).png
    images (2).png
    10.8 KB · Views: 2
PRIDE=UBISHI=MAJIVUNO=KIBURI=DHARAU.
 

Attachments

  • images - 2024-10-07T063229.772.jpeg
    images - 2024-10-07T063229.772.jpeg
    33.3 KB · Views: 2
  • images - 2024-10-06T221017.309.jpeg
    images - 2024-10-06T221017.309.jpeg
    35.9 KB · Views: 2
Habari wanaJF,

Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.

Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.

Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.

Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.

Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi.

Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
How old are you!? Ukiwa age go utaacha mwenyewe!
 
njia ya kwanza ni kuheshimu mawazo ya wenzio na kijibu hoja zako kwa upole na kwa heshima lengo kuu ni Ku WIN people(kuto mkwaza mtu) sio ku win the urgument.
Asilimia kubwa ya watu wabishi pia huwa ni wenye majivuno ,dharau,kiburi na hujiona kuwa wao ni watu wa muhimu na bora kuliko wenzao.Ni aina ya personality disorder.Pia kama unajiamini sio mbaya kukubali kutokubalina na kila mtu akabaki na msimamo wake na kile anachokiamini hata kama mnatofautiana pasipo kubishana .Na kukubalibkushindwa ndio ushindani.Asiyekubalibkushindwa na kutaka kuwa sahihi muda wote na kuumia anaposhindwa anapokosolewa.Ni tatizo la afya ya akili au tabia.NPD Narcissistic personality disorder .NI UGONJWA SIO SIFA .Unatakiwa uwe humble na utu na utulivu .sio ubishi.ukishinda ubishi mnapobishana unafaidika na nini?zaidi ya SIFA sasa kupenda kusifiwa na utukufu ni majivuno yani ni ugonjwa .pole sana .
 

Attachments

  • images - 2024-10-17T130012.086.jpeg
    images - 2024-10-17T130012.086.jpeg
    52.7 KB · Views: 2
ambazo ni sawa na 115 centmetres?
Kama ni kweli mtu mzima ana urefu huu 115cm? i doubt??
Basi uzito anaoshauriwa kuwa nao kiafya ni uzito usiozidi au kupungua kilo zipatazo
115cm-100=15kg
15kg?? wastani wa kilo kimi na tano.
akizidisha kilo 15 anakuwa amezidisha uzito kiafya
mara nyingi uzito huu na urefu huu unaonekana zaidi kwa watoto kuliko watu wazima wenye afya.
 
Back
Top Bottom