Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

hahahhaa yy huko hajawaza...huenda akapata sehem isiyohitaj ukarabati au hizo fenicha...
Kuna Mwalimu Mmoja aliona Duka LA nafaka limejaa mzigo.

Alipouliza mtaji wote kias gani, akajibiwa kama million 9.

Basi, Akaenda benki kuchukua Hiyo millioni 9 ili afungue duka kama lile.

Kilichomtokea,
Alijikuta biashara Anaifungua na mtaji wa million Moja na Nusu.

Kutokana na Usimamizi mbovu,
Duka halikudumu hata mwaka Mmoja,

Miezi 6 tu alijumlisha duka lote kwa thamani ya laki 6.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mwalimu Mmoja aliona Duka LA nafaka limejaa mzigo.

Alipouliza mtaji wote kias gani, akajibiwa kama million 9.

Basi, Akaenda benki kuchukua Hiyo millioni 9 ili afungue duka kama lile.

Kilichomtokea,
Alijikuta biashara Anaifungua na mtaji wa million Moja na Nusu.

Kutokana na Usimamizi mbovu,
Duka halikudumu hata mwaka Mmoja,

Miezi 6 tu alijumlisha duka lote kwa thamani ya laki 6.

Sent using Jamii Forums mobile app


changamoto ni nyingi sana sana..ila Tusikate tamaa..na siri kubwa ya kuvuka ng'ambo ni kusave hela
 
Kisha,
Utakabidhiwa Kimashine cha EFD na utatambulika rasmi kama mfanyabiashara mkubwa.

Hata kama mtaji wako ni Millioni Moja.

UKITOKA HAPO,
UTAANZA KUILAUMU SERIKALI KWA UJINGA WAKO MWENYEWE.
Hili nalo neno, Bado tuna changamoto kubwa kwa wajisiriamali walio wengi wanao anza biashara.
 
Wakuu!

Wasalaam!

najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,

Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,

Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha

Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.

Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja

so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.

Asante
Mbona hela ndogo hivyo, na lengo weka juu kama millioni 2 ili ukipata laki 2 uwe vizuri, ukiweka lengo laki 2, nakuona ni mtu wa elfu20 tuu
 
Anza kukopesha kwa riba ya 20% hapo ofisini kwako na ukata huu wa JPM utaanza pata 1m + riba 200k kwa mwezi. Grow the business that can scale out from profit ya 200k per month to 800K as your target. M-PESA shop also will do
 
Hiki kiasi ni below minimum.
Angalau ingekuwa TZS 500,000 kama minimum yako.

Nawaza tu nahisi mkuu unataka wapeleka watu kwenye forex kila jemaaa kama upo nondo na una uzoefu ila si shauri iyo kitu japo mm mwenyewe nafanya fx sanaa tu ila sijawaza kuwapa watu matumaini ivyoo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom