Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
.Mungu mwema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Mungu mwema!
Kuna Mwalimu Mmoja aliona Duka LA nafaka limejaa mzigo.hahahhaa yy huko hajawaza...huenda akapata sehem isiyohitaj ukarabati au hizo fenicha...
Kuna Mwalimu Mmoja aliona Duka LA nafaka limejaa mzigo.
Alipouliza mtaji wote kias gani, akajibiwa kama million 9.
Basi, Akaenda benki kuchukua Hiyo millioni 9 ili afungue duka kama lile.
Kilichomtokea,
Alijikuta biashara Anaifungua na mtaji wa million Moja na Nusu.
Kutokana na Usimamizi mbovu,
Duka halikudumu hata mwaka Mmoja,
Miezi 6 tu alijumlisha duka lote kwa thamani ya laki 6.
Sent using Jamii Forums mobile app
Idea nzuri ntajarib tafuta waarabu na wahindi wa tangaUza nganda orijino na skunk kwa watoto wa madiplomat,mafisadi,warabu,wahindi utaingiza hiyo pesa kwa robo siku.
nimefikiria biashara nyingi ila sijaweza kupata jibu la moja kwa moja ila ngoja niangalie labda naweza pata maana mtaji mdogo return kubwa ndo changamoto kidogo
Hiki kiasi ni below minimum.Naomba kuuliza Kwa hiyo project yako ninmtaji kiasi gani mtu anaweza Anza nao nahitaji kuwa mmoja wapo Ila bajet yangu Kama laki moja
Hili nalo neno, Bado tuna changamoto kubwa kwa wajisiriamali walio wengi wanao anza biashara.Kisha,
Utakabidhiwa Kimashine cha EFD na utatambulika rasmi kama mfanyabiashara mkubwa.
Hata kama mtaji wako ni Millioni Moja.
UKITOKA HAPO,
UTAANZA KUILAUMU SERIKALI KWA UJINGA WAKO MWENYEWE.
😷😷😷😷Watu wanapelekwa mdogo mdogo kufundishwa forex,unawacheki unasema hiiiiiiiiiiii
10M investment, Ukiipata mkuu, nitafute nikuelekeze hata iyo profit ambayo umeikadiria wewe kwa mtaji wa 10M bado ni ndogo.Basi mie nipp nyuma...i thought walau angekuwa na mtaji wa 10m..atleast angefikiria hyo amount..!na hizo biashara labda za simu...
Mbona hela ndogo hivyo, na lengo weka juu kama millioni 2 ili ukipata laki 2 uwe vizuri, ukiweka lengo laki 2, nakuona ni mtu wa elfu20 tuuWakuu!
Wasalaam!
najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,
Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,
Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha
Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.
Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja
so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.
Asante
Watu wanapelekwa mdogo mdogo kufundishwa forex,unawacheki unasema hiiiiiiiiiiii
10M investment, Ukiipata mkuu, nitafute nikuelekeze hata iyo profit ambayo umeikadiria wewe kwa mtaji wa 10M bado ni ndogo.
Hiki kiasi ni below minimum.
Angalau ingekuwa TZS 500,000 kama minimum yako.
usihofu sitakuja na calculationz za kulima tikitisawa..
hhahahaahahahausihofu sitakuja na calculationz za kulima tikiti