Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
though ni mdau wa mazao hayo na mengine; karibu shamba tulime mama;hhahahaahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
though ni mdau wa mazao hayo na mengine; karibu shamba tulime mama;hhahahaahahaha
Hii ya mitumba uliifanya kwa mda gani mkuu? au mpaka sasa bado unaifanya.nimeifanya kwa almosr 2yrs..ikawa inakata sana bas tu unakuw unakaakiba unaongezea..mitumba ukitaja ikulipe anza na bello 4 hv..sio 2 lazima utajikuta umerudi kwenye zero tu..na nenda minada yt uijuayo ww..hapo itakulipa..kuna minada kutoka j3 had jpl
2yrs.hpana niliacha after jpm kkuingiaHii ya mitumba uliifanya kwa mda gani mkuu? au mpaka sasa bado unaifanya.
Pasipo kuwekeana dhamana yeyote, baadae ni tafrani tuAnza kukopesha kwa riba ya 20% hapo ofisini kwako na ukata huu wa JPM utaanza pata 1m + riba 200k kwa mwezi. Grow the business that can scale out from profit ya 200k per month to 800K as your target. M-PESA shop also will do
You keep on trying sehemu tofauti tofauti!!!tabia za mtu mtafutaji.2yrs.hpana niliacha after jpm kkuingia
belo zilipanda sana
Hii ishu inawezekana sana, kuna mama ntilie aka mama "kifurushi"( huyu alikuwa anatupimia wali na ugali wa kushiba)mabibo hostel pale alikuwa anauza mpaka laki 3 kwa siku.gharama za uendeshaji kwa siku laki na nusu: mama ntilie yupo vizuri sasa kajenga nyumba nzuri ya kisasa tu mbezi- makabe. Kwaiyo sometym na location katika biashara inachangia sana.nimewaza sana hili jambo. Ni jambo ambalo linawezekana kabisa. inahitaji kujitoa sana. nimegundua unaweza kuingiza hata kiasi kikubwa zaidi ya hicho. inahitaji ujue namna ya kuweza kuuza. aidha wewe mwenyewe au utafute wasaidizi. hapa kwenye kuuza nazungumzia chochote kile mradi uweze kukiuza na kufikia target hiyo. kuna kitabu ameandika Grant Cardon kinaitwa sell or be sold ni nondo moja nzuri ambayo itakusaidia
Mtaji usizidi 1M, huna muda wakusimamia THEN faida iwe 800,000/= kwa mwezi.
labda ngoja niendelee shuhudia.
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu kuna mama mmoja alikuwa anatuuzia kokoto na ubuyu pale UDSM sasahivi anasambaza kila chuo amejenga nyumba za maana watoto wako international schools na anapush prado kila siku kusambaza mizigo yakeHii ishu inawezekana sana, kuna mama ntilie aka mama "kifurushi"( huyu alikuwa anatupimia wali na ugali wa kushiba)mabibo hostel pale alikuwa anauza mpaka laki 3 kwa siku.gharama za uendeshaji kwa siku laki na nusu: mama ntilie yupo vizuri sasa kajenga nyumba nzuri ya kisasa tu mbezi- makabe. Kwaiyo sometym na location katika biashara inachangia sana.
its true..no kusurrenderYou keep on trying sehemu tofauti tofauti!!!tabia za mtu mtafutaji.
Hayo mnayoyasema ni kweli lakini sio kwa muda mfupi tukirejea mtoa mada alivyojipambanua mwanzo.kweli mkuu kuna mama mmoja alikuwa anatuuzia kokoto na ubuyu pale UDSM sasahivi anasambaza kila chuo amejenga nyumba za maana watoto wako international schools na anapush prado kila siku kusambaza mizigo yake
Pale udsm kulikuwa na daruso bar, kuna jamaa mmoja alikuwa anauza chipsi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa saba usiku, huyo jamaa kila siku alikuwa anafunga hesabu si chini ya million 2 mpaka 3. Kwaiyo haya mambo yanawezekana ukipata location nzuri, bahati mbaya jamaa walipigwa fitna wakawa awaruhusiwi kuuza pale tena, kwaiyo fitna nayo ni muhimu sana ktk biashara usipozijua utaishia pata loss tukweli mkuu kuna mama mmoja alikuwa anatuuzia kokoto na ubuyu pale UDSM sasahivi anasambaza kila chuo amejenga nyumba za maana watoto wako international schools na anapush prado kila siku kusambaza mizigo yake
Hakika mkuu, biashara nyingi zinahitaji mda, na ustahimilivu hakuna shortcutHayo mnayoyasema ni kweli lakini sio kwa muda mfupi tukirejea mtoa mada alivyojipambanua mwanzo.
At your own risk my brazaaaaa,pesa ipo 24/7 inakufuata.Idea nzuri ntajarib tafuta waarabu na wahindi wa tanga
kweli mkuu wenye fursa kubwa fitna nazo zimo. mkuu tusaidie unawezaje kutambua location nzuri?Pale udsm kulikuwa na daruso bar, kuna jamaa mmoja alikuwa anauza chipsi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa saba usiku, huyo jamaa kila siku alikuwa anafunga hesabu si chini ya million 2 mpaka 3. Kwaiyo haya mambo yanawezekana ukipata location nzuri, bahati mbaya jamaa walipigwa fitna wakawa awaruhusiwi kuuza pale tena, kwaiyo fitna nayo ni muhimu sana ktk biashara usipozijua utaishia pata loss tu
ElliHakika mkuu, biashara nyingi zinahitaji mda, na ustahimilivu hakuna shortcut
Mkuu hii inategemea na uhitaji wa bidhaa yako sehemu husika, ndio mana kabla ya kuanzisha kitu flani tuna shauriwa tufanye tafiti za kutosha kuhusu bidhaa na hata itakapouziwa, kuna watu wana mitaji mizuri na biashara nzuri lakini wameziweka sehemu ambazo si sahihi, matokeo ya haya ni anguko la biashara hiyo au faida finyu ktk biashara hiyo.kweli mkuu wenye fursa kubwa fitna nazo zimo. mkuu tusaidie unawezaje kutambua location nzuri?
japokuwa ukizungukwa na watu wavivu na wa kukata tamaa mapema, waweza surrender tu mkuu.its true..no kusurrender