Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
japokuwa ukizungukwa na watu wavivu na wa kukata tamaa mapema, waweza surrender tu mkuu.
ahaha hao ni sumu sana..biashara yataka ujitoe haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
japokuwa ukizungukwa na watu wavivu na wa kukata tamaa mapema, waweza surrender tu mkuu.
hahaha na kuwasikiliza motivational speakerz pia mkuu.ahaha hao ni sumu sana..biashara yataka ujitoe haswa
hhahaa sijawah wapa ht nafasi weng tunaharibikia hukohahaha na kuwasikiliza motivational speakerz pia mkuu.
Mbona inawezekana kwa huo mtaji kutengeneza laki 5-8 ata duka la rejareja akipata mahali pazuri inamtoaBasi mie nipp nyuma...i thought walau angekuwa na mtaji wa 10m..atleast angefikiria hyo amount..!na hizo biashara labda za simu...
kama yupo makini hiyo faida anaipata mkuu ukimbana vizuri mfanyakaziKijana acha tamaa.
Anza kidogo kidogo,
kuwaza vikubwa wakati hata vidogo huviwezi ni hatari na UTAPOTEA.
Kwa kijana mpya asokua na uzoefu wa biashara.
Kwa huo mtaji wa million Moja,
Faida yake inastahili kua elfu 20-30 kwa wiki.
NB: Hiyo faida (Mapato-Matumizi) ya laki 2 kwa mtaji wa million Moja ni Ndoto.
Vinginevyo unaongelea MAPATO ya laki 2 kwa wiki.
Kiuhalisia,
Kama unataka Faida ya Laki 2 kwa wiki,
Itakubidi uwe na MAUZO yasopungua Millioni 2 kwa wiki.
Sasa,
MAUZO ya million 2 wakati Mtaji wako ni Millioni 1 ni KICHEKESHO CHA MWAKA itakua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tengeneza million 1 kila wiki, kwa mda wako wa ziada ( wana maneno mazuri kweli)hhahaa sijawah wapa ht nafasi weng tunaharibikia huko
Mbona inawezekana kwa huo mtaji kutengeneza laki 5-8 ata duka la rejareja akipata mahali pazuri inamtoa
Bora kwa mwezi lkn hyo laki2 kwa wiki2 kwa mwezi laki 8 nilivyoelewaEti nawaza...laki 2 kwa kila mwezi..na mtaji wako ni 1m????duh
Laki 5 kwa week?au sijaelewa
HAPA KUNA ANAYEENDA KUPIGWA SOON HAPA !!!usihofu sitakuja na calculationz za kulima tikiti
Nitajie mim hyo ya kusimamia full time ikakulipa hvyo?Mkuu zipo biashara ya hivyo ila ni lazima uisimamie mwenyewe masaa kumi kila siku ndio utatoboa tofauti na hapo andika maumivu
😂😂😂Tengeneza million 1 kila wiki, kwa mda wako wa ziada ( wana maneno mazuri kweli)
HAPA KUNA ANAYEENDA KUPUGWA SOON HAPA !!!
"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
mtaji wa 1m kwa duka la msos ndogo sanaKwa mwezi
hahaha senata bwana, usiogope hata wewe pia nakukaribisha!!! Sisi watanzania ni wajamaaHAPA KUNA ANAYEENDA KUPUGWA SOON HAPA !!!
"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
easy sana yaan kwa kuandikaBora kwa mwezi lkn hyo laki2 kwa wiki2 kwa mwezi laki 8 nilivyoelewa
Leo kuna arsenal na Chelsea wanacheza mkuu mkuu!!! Chukua million mmoja wawekee, profit ni million 2 mama. ambayo unaipata within one day.Nitajie mim hyo ya kusimamia full time ikakulipa hvyo?
"KWA SIKU ANAFUNGA MILIONI 2 MPAKA 3,Pale udsm kulikuwa na daruso bar, kuna jamaa mmoja alikuwa anauza chipsi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa saba usiku, huyo jamaa kila siku alikuwa anafunga hesabu si chini ya million 2 mpaka 3. Kwaiyo haya mambo yanawezekana ukipata location nzuri, bahati mbaya jamaa walipigwa fitna wakawa awaruhusiwi kuuza pale tena, kwaiyo fitna nayo ni muhimu sana ktk biashara usipozijua utaishia pata loss tu
Qnet, Rifaro Africa, AIM Global, DECI na other pyramidsLaki 5 kwa week?au sijaelewa
😂😂Qnet, Rifaro Africa, AIM Global, DECI na other pyramids