Kijana acha tamaa.
Anza kidogo kidogo,
kuwaza vikubwa wakati hata vidogo huviwezi ni hatari na UTAPOTEA.
Kwa kijana mpya asokua na uzoefu wa biashara.
Kwa huo mtaji wa million Moja,
Faida yake inastahili kua elfu 20-30 kwa wiki.
NB: Hiyo faida (Mapato-Matumizi) ya laki 2 kwa mtaji wa million Moja ni Ndoto.
Vinginevyo unaongelea MAPATO ya laki 2 kwa wiki.
Kiuhalisia,
Kama unataka Faida ya Laki 2 kwa wiki,
Itakubidi uwe na MAUZO yasopungua Millioni 2 kwa wiki.
Sasa,
MAUZO ya million 2 wakati Mtaji wako ni Millioni 1 ni KICHEKESHO CHA MWAKA itakua.
Sent using
Jamii Forums mobile app