jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Sawa, angalia asije kuhamisha kwenye ngono, ikawa tabu zaidi, jiulize kitu gani kimempeleka huko, labda kosa liko kwako, na wewe labda uko kwenye denial, ukiamini uko right all the time..Yaaani zamani hakua hivyo alikua naakunywa kistaarabu ila sasa amekua mlevi ambae hataki hata kuoga yaana kama karogwa vile msaada nipate dawa au mawazo nijue chakufanya maana ndoa imekua ngumu